Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

mafuta ya kawaida tu ya mzeituni toka Italy.
Ndio Mafuta ni ya Mzeituni au ya Manemane Ila haya ya Manemane ni ngumu kuyapata hata ukienda madukani huyapati, Waislamu wanayaita mafuta ya Maiti sababu hupakwa Maiti baada ya kufa Ila usichokijua Mafuta ya Manemane ndio Mafuta yenye nguvu kuliko hata mafuta ya Mzeituni na Watu hawajui na hio elimu hawapewi, Yesu alipozaliwa Wale Mama Jusi ee Bwana kwa sasa utawaita Wanajimu Wazee wa kubashiri walienda kumpeleka vitu vitatu vyenye nguvu ya kifalme na nguvu ya kimuungu ambavyo ni : Dhahabu, Ubani na Manemane, sio na Mzeituni bali na Manemane, ushaelewa? na Manemane sio na Mzeituni ni -na Manemane hawakupeleka Mzeituni wale

Hivyo vitu vitatu ndio vina nguvu ya kimungu nguvu ya kifalme sasa Mafuta ya Manemane kuyapata kwake ni mtiti hata huyo Mwoposa sijui km anayo nilisikia kuhani mmoja wa kuitwa Musa wa pale Kimara Temboni alikua anawauzia Waumini wake Ila sidhani km kweli yalikua Mafuta ya Manemane yale, ukisikia mfalme Daudi alipakwa Mafuta sio ya Mzeituni ni Mafuta ya Manemane

Mwoposa hata siku hasemi Mafuta yake ni Mafuta gani yaan yanatokana Mmea gani Ila ukicheck pale mbele utaona machupa ya Mafuta ya Mzeituni yamejaa sasa Mafuta ya Mzeituni hayana nguvu kuzidi Mafuta ya Manemane na Mafuta ya Mzeituni yanauzwa Madukani yaan yametapakaa vibaya sana ni mengi Mno supamaketi zote yapo unaweza kuyanywa km unavyokunywa juice au Maji, unaweza kupikia kwenye Mboga, unaweza kuyapakaa mwilini km Mafuta ya kawaida, unaweza kuingiziwa kwenye matundu yote ya Mwili bila shida yoyote hayadhuru Mwili hata kidogo

Na Mafuta ya Mzeituni huna haja ya kuyafuata kwa Mwoposa ni vile tu watu hawana akili hawana maarifa hawana uelewa na alivyo Mwehu yule Jamaa hawapi formula hawapi maelezo hawaambii kwamba haya ni Mafuta gani na yanatokana na Mmea gani na ukienda sehemu gani na sehemu gani unayapata huna haja ya kuja kununua kwangu labda upende mwenyewe ili waendelee kuja na kujaza uwanja na yeye aendelee kuwapiga vizuri

Sababu akiwaambia haya ni mafuta ya Mmea fulani haya mafuta ni ya Mzeituni ukienda supamaketi zote utayakuta yanauzwa bei nafuu kabisa si wataacha kununua wataenda kutafuta madukani kwingine na yeye biashara inakua imekufa na kuishia hapo

Ila Mafuta ya Manemane utazinguka sana madukani kote usiyapate mpaka uagize kutoka nje

Nimekutobolea Siri uliyokua hauijui
 
Huyo zile Sadaka zote anazilipia VAT na wale Waumini wanapewa risiti kabisa kila wakituma muamala EFD mashine IPO standby kila mtu ananunua mafuta na maji anakatiwa risiti kutoka TRA kiufupi Jamaa anaiingizia Serikali mapato Ile Siku aliyouza Udongo pale Taifa Serikali iliingiza Pesa nyingi sana TRA kwa kupitia EFD mashine kwani kila kijiko watu walilipia na risiti za EFD walipewa kwa hio Serikali kumfungia mtu km huyu mfanyabiashara mwenye mbwinu ya kucheza na akili za wasioelewa haiwezi kamwe sababu TRA inaingiza mapato mengi kupitia yeye akipiga show tu akajaza watu laki 5 TRA wanachekelea maana Pesa inaingia nyingi
Ajawah kuuza udongo
 
Wapo sahihi sana.


Kiboko ya wachawi hili jina limekaa kitapeli sana na amethibitisha kwa vitendo.

Congrats kwa serikali kwa kuliona hili.
Kama ''kiboko ya wachawi'' limekaa kitapeli tutasemaje kuhusu ''ufufuo na uzima''?
 
Ndio Mafuta ni ya Mzeituni au ya Manemane Ila haya ya Manemane ni ngumu kuyapata hata ukienda madukani huyapati, Waislamu wanayaita mafuta ya Maiti sababu hupakwa Maiti baada ya kufa Ila usichokijua Mafuta ya Manemane ndio Mafuta yenye nguvu kuliko hata mafuta ya Mzeituni na Watu hawajui na hio elimu hawapewi, Yesu alipozaliwa Wale Mama Jusi ee Bwana kwa sasa utawaita Wanajimu Wazee wa kubashiri walienda kumpeleka vitu vitatu vyenye nguvu ya kifalme na nguvu ya kimuungu ambavyo ni : Dhahabu, Ubani na Manemane, sio na Mzeituni bali na Manemane, ushaelewa? na Manemane sio na Mzeituni ni -na Manemane hawakupeleka Mzeituni wale

Hivyo vitu vitatu ndio vina nguvu ya kimungu nguvu ya kifalme sasa Mafuta ya Manemane kuyapata kwake ni mtiti hata huyo Mwoposa sijui km anayo nilisikia kuhani mmoja wa kuitwa Musa wa pale Kimara Temboni alikua anawauzia Waumini wake Ila sidhani km kweli yalikua Mafuta ya Manemane yale, ukisikia mfalme Daudi alipakwa Mafuta sio ya Mzeituni ni Mafuta ya Manemane

Mwoposa hata siku hasemi Mafuta yake ni Mafuta gani yaan yanatokana Mmea gani Ila ukicheck pale mbele utaona machupa ya Mafuta ya Mzeituni yamejaa sasa Mafuta ya Mzeituni hayana nguvu kuzidi Mafuta ya Manemane

Nimekutobolea Siri uliyokua hauijui
Ya Mwamposa ni alizeti kutoka Singida. Wajinga ndio waliwao!
 
Ndio Mafuta ni ya Mzeituni au ya Manemane Ila haya ya Manemane ni ngumu kuyapata hata ukienda madukani huyapati, Waislamu wanayaita mafuta ya Maiti sababu hupakwa Maiti baada ya kufa Ila usichokijua Mafuta ya Manemane ndio Mafuta yenye nguvu kuliko hata mafuta ya Mzeituni na Watu hawajui na hio elimu hawapewi, Yesu alipozaliwa Wale Mama Jusi ee Bwana kwa sasa utawaita Wanajimu Wazee wa kubashiri walienda kumpeleka vitu vitatu vyenye nguvu ya kifalme na nguvu ya kimuungu ambavyo ni : Dhahabu, Ubani na Manemane, sio na Mzeituni bali na Manemane, ushaelewa? na Manemane sio na Mzeituni ni -na Manemane hawakupeleka Mzeituni wale

Hivyo vitu vitatu ndio vina nguvu ya kimungu nguvu ya kifalme sasa Mafuta ya Manemane kuyapata kwake ni mtiti hata huyo Mwoposa sijui km anayo nilisikia kuhani mmoja wa kuitwa Musa wa pale Kimara Temboni alikua anawauzia Waumini wake Ila sidhani km kweli yalikua Mafuta ya Manemane yale, ukisikia mfalme Daudi alipakwa Mafuta sio ya Mzeituni ni Mafuta ya Manemane

Mwoposa hata siku hasemi Mafuta yake ni Mafuta gani yaan yanatokana Mmea gani Ila ukicheck pale mbele utaona machupa ya Mafuta ya Mzeituni yamejaa sasa Mafuta ya Mzeituni hayana nguvu kuzidi Mafuta ya Manemane

Nimekutobolea Siri uliyokua hauijui
Kiboko anatumia ya korie mwizi sana yule jamaa

USSR
 
Nilishangaa kuona huyu jamaa nae anawatu
Mafala hawaishi hata humu JF wamejaa kibao Wewe jifanye una shida na wakati huna shida Tunga Tunga sentensi ya uongo uongo weka bandiko JF chini weka Namba nakwambia kuna mafala kweli watakurushia Hela za miamala km hauamini kesho fanya jaribio zingatia kuweka Namba ya miamala utawapiga mafala kibao
 
Back
Top Bottom