Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

Huyo zile Sadaka zote anazilipia VAT na wale Waumini wanapewa risiti kabisa kila wakituma muamala EFD mashine IPO standby kila mtu ananunua mafuta na maji anakatiwa risiti kutoka TRA kiufupi Jamaa anaiingizia Serikali mapato Ile Siku aliyouza Udongo pale Taifa Serikali iliingiza Pesa nyingi sana TRA kwa kupitia EFD mashine kwani kila kijiko watu walilipia na risiti za EFD walipewa kwa hio Serikali kumfungia mtu km huyu mfanyabiashara mwenye mbwinu ya kucheza na akili za wasioelewa haiwezi kamwe sababu TRA inaingiza mapato mengi kupitia yeye akipiga show tu akajaza watu laki 5 TRA wanachekelea maana Pesa inaingia nyingi
Kwa mantiki yako kwa hiyo hata matapeli wakiwa wanatoa risiti waachwe waendelee kwa vile watakuwa wanaiingizia serikali mapato.
 
Serikali kweli IPO kazini Kwa kuchukua hatua ya haraka pale inapobainika mahali watu wanaenda isivyo. Kiboko ya wachawi amekuwa akimfanyia kazi ya Mungu kama kufanya uganga na ushirikina ufanyikavyo...
= ukidhalilishwa.

Rudi ujisalimishe kwa muumba wako, kuwa Muislam.
 
Kwa mantiki yako kwa hiyo hata matapeli wakiwa wanatoa risiti waachwe waendelee kwa vile watakuwa wanaiingizia serikali mapato.
Serikali inahitaji mapato Wewe buni buni utapeli wako huko Ila usisahau mrija mmoja uelekeo uwe Serikalini ilipe Serikali na Serikali itakua pamoja na Wewe sababu upo kwenye kanzidata yao ya malipo
 
= ukidhalilishwa.

Rudi ujisalimishe kwa muumba wako, kuwa Muislam.
Kwa hiyo hao Mashehe wanaotabiri nyota na kufanya uganga wa kienyeji kwa kutumia quran nao wanaufanya Uislam usiwe dini?

Acha ujinga na upumbavu dini haina shida shida ni watu kutumia dini kwa masrahi yao!

Ukristo ni ufuasi wa Yesu kwa hiyo sisi kuitwa dini au blahblah kama hizo tunawqachini nyjnyi wafuasi wa Mod na Allah!
 
= ukidhalilishwa.


Ukristo siyo dini, ni upigaji tu. Rudi ujisalimishe kwa muumba wako, kuwa Muislam.
Upo sahihi kusema kuwa kuwa ukristo siyo dini.

Dini ni njia ya mwanadamu kumtafuta Mungu. Dini zipo nyingi kama uislamu,ushinto,uhindu,ubudha nk.

Ukristo ni maisha halisi na njia ya mwanadamu ya kuishi sawasawa na kristo Yesu alivyoishi..Yaani upendo,huruma na kuubeba msalaba hadi Golgotha (hatma). Kuwa M'KRISTO' ni kazi kuliko kuabudu katika dini bi Faiza.

Kabla Yesu hajaondoka duniani,siku Moja aliongea na wanafunzi wake akayatabiri haya yote tunayoyajadili hapa. Kasome kitabu cha Mathayo sura yote ya 24..."katika siku ya hukumu ,wengine (kina kiboko ya wachawi)watasema,bwana tulitoa mapepo na kufanya miujiza jina lako,lakini Mimi nitawaambia sikuwahi kuwatambua"

Tumsifu Yesu kristo.
 
Kulifungia hilo genge lake tu haitoshi huyu ataifishiwe mali zote alizzopata kitapeli kisha arudishwe kwao DRC. Na kuna mwingine pale Mwenge Mpakani anaitwa James Nyakia huyu naye ni tapeli mkubwa anayedai kufanya vipimo vya X-Ray,Utra Sound,MRI na CT Scan kwa kutumia viganja vya mikono yake,anawapiga hela ndefu watu na analaza watu hapo kilingeni kwake
Si wanaenda kwa hiyari yao pale!?Hivi mtu asiyefanikiwa jambo lake atarudi au kung'ang'ania mahala kweli..Mfalme Zumaridi wa Mwanza kaibwaga Serikali Mahakamani, kwa grounds kama hizi japo tunazibeza..Eti anawatapeli watu,anawarubuni, mara anawasafirisha sijui kitumwa nk.Kuyathibitisha haya pasi na shaka ikawa kipengele kwa Serikali ya CCM
 
Ndio Mafuta ni ya Mzeituni au ya Manemane Ila haya ya Manemane ni ngumu kuyapata hata ukienda madukani huyapati, Waislamu wanayaita mafuta ya Maiti sababu hupakwa Maiti baada ya kufa Ila usichokijua Mafuta ya Manemane ndio Mafuta yenye nguvu kuliko hata mafuta ya Mzeituni na Watu hawajui na hio elimu hawapewi, Yesu alipozaliwa Wale Mama Jusi ee Bwana kwa sasa utawaita Wanajimu Wazee wa kubashiri walienda kumpeleka vitu vitatu vyenye nguvu ya kifalme na nguvu ya kimuungu ambavyo ni : Dhahabu, Ubani na Manemane, sio na Mzeituni bali na Manemane, ushaelewa? na Manemane sio na Mzeituni ni -na Manemane hawakupeleka Mzeituni wale

Hivyo vitu vitatu ndio vina nguvu ya kimungu nguvu ya kifalme sasa Mafuta ya Manemane kuyapata kwake ni mtiti hata huyo Mwoposa sijui km anayo nilisikia kuhani mmoja wa kuitwa Musa wa pale Kimara Temboni alikua anawauzia Waumini wake Ila sidhani km kweli yalikua Mafuta ya Manemane yale, ukisikia mfalme Daudi alipakwa Mafuta sio ya Mzeituni ni Mafuta ya Manemane

Mwoposa hata siku hasemi Mafuta yake ni Mafuta gani yaan yanatokana Mmea gani Ila ukicheck pale mbele utaona machupa ya Mafuta ya Mzeituni yamejaa sasa Mafuta ya Mzeituni hayana nguvu kuzidi Mafuta ya Manemane na Mafuta ya Mzeituni yanauzwa Madukani yaan yametapakaa vibaya sana ni mengi Mno supamaketi zote yapo unaweza kuyanywa km unavyokunywa juice au Maji, unaweza kupikia kwenye Mboga, unaweza kuyapakaa mwilini km Mafuta ya kawaida, unaweza kuingiziwa kwenye matundu yote ya Mwili bila shida yoyote hayadhuru Mwili hata kidogo

Na Mafuta ya Mzeituni huna haja ya kuyafuata kwa Mwoposa ni vile tu watu hawana akili hawana maarifa hawana uelewa na alivyo Mwehu yule Jamaa hawapi formula hawapi maelezo hawaambii kwamba haya ni Mafuta gani na yanatokana na Mmea gani na ukienda sehemu gani na sehemu gani unayapata huna haja ya kuja kununua kwangu labda upende mwenyewe ili waendelee kuja na kujaza uwanja na yeye aendelee kuwapiga vizuri

Sababu akiwaambia haya ni mafuta ya Mmea fulani haya mafuta ni ya Mzeituni ukienda supamaketi zote utayakuta yanauzwa bei nafuu kabisa si wataacha kununua wataenda kutafuta madukani kwingine na yeye biashara inakua imekufa na kuishia hapo

Ila Mafuta ya Manemane utazinguka sana madukani kote usiyapate mpaka uagize kutoka nje

Nimekutobolea Siri uliyokua hauijui
Ufahamu wako mdogo sana ustaadhi, kwahiyo kwa akili yako unadhani waumini hawajui kuwa yale mafuta yanapatikana madukani!? Na kwa taarifa yako wengine huenda na mafuta yao ila kinachowapeleka ni maombi yaliyofanyika kwenye hayo mafuta (nguvu) na si mafuta kama mafuta. Hata maji pia huwa anawapa na ni maji haya haya unayoyafahamu wewe lkn kinachotofautiana ni nguvu iliyopo kwenye hayo maji. Nenda siku moja utakutana na mashekhati kibao wamefata maji.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom