Prince_Nurudin_Tz
Senior Member
- Jun 28, 2024
- 172
- 133
Aweke na Tumbomi hio picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aweke na Tumbomi hio picha
😂 Sio mafuta ya DieselKiboko anatumia ya korie mwizi sana yule jamaa
USSR
We Mbwa Udongo kauza sana, nikuulize mara ya Mwisho uliponunua Maji na Mafuta ulipewa risiti halali ya malipo ya Serikali au haukupewa?Anauzaga mafuta +maji
Anauzaga mafuta + maji ila udongo ni bure
Hapo sasa, Mwarabu fighter pia ni WA kuonea huruma, alishapata Amira ya kudumu baada ya kutimuliwa Kwa Diamond 💎💎💎💎💎.Sasa hela za mikorogo atapata wapi?
Hapana mwamposa hajafanya jambo lolote baya. Injili yake ni nzuri inaeleweka.
Kama huna akili huwezi kujuaSijaelewa sababu zilizomfanya yeye huyo kiboko ya wachawi kufungiwa!
Injili yake ni nzuri na inaeleweka kwa nani??Hapana mwamposa hajafanya jambo lolote baya. Injili yake ni nzuri inaeleweka.
Walpole ni Wakristo, hujui unachozungumza.Baki katika imani yako siku zote if islam piga dua sana kama mkirsto sali sana ila hiii yakwenda kwa walokole hapana
Kwa vigezo vipi??Kwanza niseme kwamba lile halikuwa kanisa bali pango la walaghai na wanyang'anyi.
Serikali haitakiwi kupangia watu wajihusishe na imani ganiSerikali inatakiwa ifungie makanisa yote yanayo chipua kama Uyoga au wapelekwe hospital waombee wagonjwa kama kweli wao ni mitume kama wanavyo jitangaza.
Wewe na imani yako sio SI unit ya Ukristo, huna hak ya imani Kikristo kumzidi.Am a Christian,and I believe on Christianity.
Huyo jamaa alitakiwa atimuliwe nje ya bongo kabisa.
Ajawah kuuza udongoWe Mbwa Udongo kauza sana, nikuulize mara ya Mwisho uliponunua Maji na Mafuta ulipewa risiti halali ya malipo ya Serikali au haukupewa?
Na kuna Wakristo wanashangilia kama piano kuwa regulated na serikali!Hata hivyo sio kazi ya serikali kuamua kanisa lipi la kweli lipi la uongo. Serikali za kuzimu kujipatia madaraka ya ku-regulate ukristo ni kosa kubwa sana!!
Mara ya Mwisho uliponunua Maji na Mafuta kwa Mwoposa ulipewa risiti halali ya malipo ya Serikali au haukupewa?Ajawah kuuza udongo
Kuna watu wanashangaa pia wewe dini yako ina watuNilishangaa kuona huyu jamaa nae anawatu
Watu ndio wakina nani?Kuna watu wanashangaa pia wewe dini yako ina watu
Ulnipa wewe risitiMara ya Mwisho uliponunua Maji na Mafuta kwa Mwoposa ulipewa risiti halali ya malipo ya Serikali au haukupewa?
Haukupewa risiti?Ulnipa wewe risiti