Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

It was just a matter of time. Kiboko ya wachawi amefanya sana usanii kwa muda mrefu. Kuna mtu wangu wa karibu aliniambia jinsi huyu jamaa anavyonunua watoa ushuhuda feki kwa lengo la kuvutia biashara yake. Mpuuzi sana huyu jamaa aisee!! Sina hamu naye.
 
Safi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…