Majority wanakula nyama,kwa maisha ya Sasa samaki inaangaliwa kama chakula Cha anasa....
Nyama inapatikana hapa hapa so unaipata fresh na unahakika ya kuimaliza, tofauti na samaki ,inatoka mbali na utokaji wake ni slow kidogo .
UTUNZAJI,ukipata Mtu anayekuletea kutoka Mwanza asipotunza vizuri kwenye 0-2degree kabla ya kusafirisha unaweza pokea mzigo hauna ubora,nadhani unajua ukipataa mzigo mbovu,itabidi uuze Kwa bei ya hasara.,hapa wateja ni wafanyabiashara wa kukaanga samaki mara nyingi Huwa wanafurahia hii sana...kuwauzia wateja wa kula nyumbani Huwa changamoto sana....
KUTAPELIWA,unaweza kuwa na Mtu anakuletea samaki kutoka Mwanza unamtumia pesa ya kutosha karibu mwaka mzima,ila siku isiyo na jina anaweza potea bila taarifa hapo umetuma 6M zako,usimpate tena
Kifupi,samaki inacomplication ila ikikubali inakutoa...