Rozela
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 845
- 2,235
Nimekusudia kufungua kesi ya utapeli na ulaghai wa kiroho dhidi ya anayejiita mtume Boniphace Mwamposa. Nina ushahidi wakutosha na mashahidi kadhaa ambao ni waumimi wake walio tapeliwa kwa njia hiyo hiyo.
Je, kisheria utapeli wa kiroho unatambulika ikiwa kuna ushahidi?
Je, kisheria utapeli wa kiroho unatambulika ikiwa kuna ushahidi?