Bila kulazimishwa na mtu😆Ataulizwa pia uliamini
Atajibu.. ndiyo
😄
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kulazimishwa na mtu😆Ataulizwa pia uliamini
Atajibu.. ndiyo
😄
Ova
😀😀😀Dj nipe wimbooooo
Siweziii jizuiaaaa kusema wakoo wemaa sio kwamba najigamba umenitunda memaa
Kaa tu kwa kutulia maana ulikubali mwenyewe ka Mwamposa kakugeuze kuwa ndezi!Kwahiyo nitumie njia gani?
Utashindwa hiyo kesi utasikilizwa halafu itawekwa kapuni, huyo mwampsa alifanya Ibada wakafa watu ishirini palepale, hata kama yeye hakuhusika angeitwa na uchunguzi ungefanyika kama lile gorofa pale kariakoo ilivyokuwa.Nimekusudia kufungua kesi ya utapeli na ulaghai wa kiroho dhidi ya anayejiita mtume Boniphace Mwamposa. Nina ushahidi wakutosha na mashahidi kadhaa ambao ni waumimi wake walio tapeliwa kwa njia hiyo hiyo.
Je, kisheria utapeli wa kiroho unatambulika ikiwa kuna ushahidi?