Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sidhani kama umenielewaThis is to confirm that you're deeply in love withapostleMwamposa"s fraudulent ministry
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama umenielewaThis is to confirm that you're deeply in love withapostleMwamposa"s fraudulent ministry
I understand u beyond reasonable doubtSidhani kama umenielewa

Basi uwe na siku njemaI understand u beyond reasonable doubt![]()
Regards!Basi uwe na siku njema
Na Moshi, kilimanjaro jamani 🤣🤣🤣Uliitwa
Ulipelekwa
Alikuita
Alikulazimisha kuja
Alikulazimisha kununua mafuta
Alikulazimisha kununua maji
Alikulazimisha kuamini
Mwisho utaulizwa na MWANASHERIA umejipanga sh ngapi kumlipa fidia
Wakati ukiwa na mashahidi wakoo
KUNA eicher 4 zitakuwa Nje kama mashahidi Toka mbagala na tegeta wakionyesha walivyopona
JIPANGE tu
Mwosha huoshwaa
imposters!!Na Moshi, kilimanjaro jamani 🤣🤣🤣
Kila mwenye ushuhuda anatokea huko
Kwanza kabisa utaulizwa wewe ndiye uliyetapeliwa au unajipendekeza tu kushitaki wakati hao unaosema wametapeliwa wala hawaoni kuwa wametapeliwa?Nimekusudia kufungua kesi ya utapeli na ulaghai wa kiroho dhidi ya anayejiita mtume Boniphace Mwamposa. Nina ushahidi wakutosha na mashahidi kadhaa ambao ni waumimi wake walio tapeliwa kwa njia hiyo hiyo.
Je, kisheria utapeli wa kiroho unatambulika ikiwa kuna ushahidi?
Ukimpata na kwenda naye mahakamani huyo roho, unapiga pesa chapu tuJe, kisheria utapeli wa kiroho unatambulika ikiwa kuna ushahidi?
Itakuwa kesi ya kwanza ya aina yakeNimekusudia kufungua kesi ya utapeli na ulaghai wa kiroho dhidi ya anayejiita mtume Boniphace Mwamposa. Nina ushahidi wakutosha na mashahidi kadhaa ambao ni waumimi wake walio tapeliwa kwa njia hiyo hiyo.
Je, kisheria utapeli wa kiroho unatambulika ikiwa kuna ushahidi?
Unavyouliza sasa utafikiri hujaishi Tanzania 😂😂Na mahakama?
Serikali haina dini utapigwa mchana kweupe! Hasa utakaposema utapeli wa kiroho! Kesi yako tutaitupilia mbali!Nimekusudia kufungua kesi ya utapeli na ulaghai wa kiroho dhidi ya anayejiita mtume Boniphace Mwamposa. Nina ushahidi wakutosha na mashahidi kadhaa ambao ni waumimi wake walio tapeliwa kwa njia hiyo hiyo.
Je, kisheria utapeli wa kiroho unatambulika ikiwa kuna ushahidi?
Polisi kuna kesi kama hiz:-Uliitwa
Ulipelekwa
Alikuita
Alikulazimisha kuja
Alikulazimisha kununua mafuta
Alikulazimisha kununua maji
Alikulazimisha kuamini
Mwisho utaulizwa na MWANASHERIA umejipanga sh ngapi kumlipa fidia
Wakati ukiwa na mashahidi wakoo
KUNA eicher 4 zitakuwa Nje kama mashahidi Toka mbagala na tegeta wakionyesha walivyopona
JIPANGE tu
Mwosha huoshwaa