Kufungua kesi ya Utapeli wa kiroho dhidi ya ndugu Boniphace Mwamposa

Kufungua kesi ya Utapeli wa kiroho dhidi ya ndugu Boniphace Mwamposa

Uliitwa
Ulipelekwa
Alikuita
Alikulazimisha kuja
Alikulazimisha kununua mafuta
Alikulazimisha kununua maji
Alikulazimisha kuamini
Mwisho utaulizwa na MWANASHERIA umejipanga sh ngapi kumlipa fidia

Wakati ukiwa na mashahidi wakoo

KUNA eicher 4 zitakuwa Nje kama mashahidi Toka mbagala na tegeta wakionyesha walivyopona

JIPANGE tu

Mwosha huoshwaa
Na Moshi, kilimanjaro jamani 🤣🤣🤣
Kila mwenye ushuhuda anatokea huko
 
Nimekusudia kufungua kesi ya utapeli na ulaghai wa kiroho dhidi ya anayejiita mtume Boniphace Mwamposa. Nina ushahidi wakutosha na mashahidi kadhaa ambao ni waumimi wake walio tapeliwa kwa njia hiyo hiyo.

Je, kisheria utapeli wa kiroho unatambulika ikiwa kuna ushahidi?
Kwanza kabisa utaulizwa wewe ndiye uliyetapeliwa au unajipendekeza tu kushitaki wakati hao unaosema wametapeliwa wala hawaoni kuwa wametapeliwa?
 
Nimekusudia kufungua kesi ya utapeli na ulaghai wa kiroho dhidi ya anayejiita mtume Boniphace Mwamposa. Nina ushahidi wakutosha na mashahidi kadhaa ambao ni waumimi wake walio tapeliwa kwa njia hiyo hiyo.

Je, kisheria utapeli wa kiroho unatambulika ikiwa kuna ushahidi?
Itakuwa kesi ya kwanza ya aina yake
 
Una miaka mingapi kwani ulilazimishwa kufuata huduma zake.
Au unataka kutrand na upepo wake
 
Kutoboa ni ngumu sana kwa kesi hiyo labda km ukivyosema una ushahidi wa kutosha Nenda BBC radio wafanye na wao uchunguzi wao,ikibainika kila mmoja atajua na watajua na engine kuwa walipigwa kama ww ata km ni style tofauti.
 
Nimekusudia kufungua kesi ya utapeli na ulaghai wa kiroho dhidi ya anayejiita mtume Boniphace Mwamposa. Nina ushahidi wakutosha na mashahidi kadhaa ambao ni waumimi wake walio tapeliwa kwa njia hiyo hiyo.

Je, kisheria utapeli wa kiroho unatambulika ikiwa kuna ushahidi?
Serikali haina dini utapigwa mchana kweupe! Hasa utakaposema utapeli wa kiroho! Kesi yako tutaitupilia mbali!
 
Uliitwa
Ulipelekwa
Alikuita
Alikulazimisha kuja
Alikulazimisha kununua mafuta
Alikulazimisha kununua maji
Alikulazimisha kuamini
Mwisho utaulizwa na MWANASHERIA umejipanga sh ngapi kumlipa fidia

Wakati ukiwa na mashahidi wakoo

KUNA eicher 4 zitakuwa Nje kama mashahidi Toka mbagala na tegeta wakionyesha walivyopona

JIPANGE tu

Mwosha huoshwaa
Polisi kuna kesi kama hiz:-

Shambulio la kudhuru Mwili.
Wizi wa Kuaminiwa.
 
Hivi kumtaja mtu kuwa kakutapeli, ukasambaza kwenye mitandao ya kijamii, bila kuteleza amekutapeli nini, lini na wapi, sio matumizi mabaya ya mitandao, huyu anayetukanwa bila maelezo yoyote ni binadamu mwenye familia Kama mwingine,. Je sio character assasnation au deformation assault
 
Back
Top Bottom