Ataulizwa pia uliaminiUliitwa
Ulipelekwa
Alikuita
Alikulazimisha kuja
Alikulazimisha kununua mafuta
Alikulazimisha kununua maji
Alikulazimisha kuamini
Mwisho utaulizwa na MWANASHERIA umejipanga sh ngapi kumlipa fidia
Wakati ukiwa na mashahidi wakoo
KUNA eicher 4 zitakuwa Nje kama mashahidi Toka mbagala na tegeta wakionyesha walivyopona
JIPANGE tu
Hayajakukuta ndugu yangu,siku yakikukuta hutasema hivyomtu yeyeyote mwenye akili timamu na ni mfuasi wamtumeapostleMwamposa ni ZUZU/IMBECILE na kwa pamoja wote ni WAHALIFU/CRIMINALS mnashiriki kuupigania UTAPELI WA KIDINI
yamenikuta sana, ila napiga magoti na kumwomba MUNGU anipe wepesi na unafuu, lakin siyo tumafuta twa MWAMPOSAHayajakukuta ndugu yangu,siku yakikukuta hutasema hivyo
Wote waliojazana mle asilimia kubwa walikuwa wanampinga hata nikiwemo mimymenikuta sana, ila napiga magoti na kumwomba MUNGU anipe wepesi na unafuu, lakin si tumafuta MWAMPOSA
Hivi kwa mfano wakiwa wanapaka mafuta yao na kunywa maji yao wanakuwa wanatapeli nini na wanamtapeli nani?mtu yeyeyote mwenye akili timamu na ni mfuasi wamtumeapostleMwamposa ni ZUZU/IMBECILE na kwa pamoja wote ni WAHALIFU/CRIMINALS mnashiriki kuupigania UTAPELI WA KIDINI
😂😂😂Nimekusudia kufungua kesi ya utapeli na ulaghai wa kiroho dhidi ya anayejiita mtume Boniphace Mwamposa. Nina ushahidi wakutosha na mashahidi kadhaa ambao ni waumimi wake walio tapeliwa kwa njia hiyo hiyo.
Je, kisheria utapeli wa kiroho unatambulika ikiwa kuna ushahidi?
Roger Rogermtu yeyeyote mwenye akili timamu na ni mfuasi wamtumeapostleMwamposa ni ZUZU/IMBECILE na kwa pamoja wote ni WAHALIFU/CRIMINALS mnashiriki kuupigania UTAPELI WA KIDINI
This is to confirm that you're deeply in love withHivi kwa mfano wakiwa wanapaka mafuta yao na kunywa maji yao wanakuwa wanatapeli nini na wanamtapeli nani?
Biblia inasema usimjibu mpumbavu usije fanana nae methali hioo mkuuHivi kwa mfano wakiwa wanapaka mafuta yao na kunywa maji yao wanakuwa wanatapeli nini na wanamtapeli nani?
ka kiswahili bana ACHA kuandkka kama ukoo kwenye kili marathon 2204This is to confirm that you're deeply in love withapostleMwamposa"s fraudulent ministry
Mnamkataba ambao unaweza kumshtaki upande mwingine endapo asipofanya au asipopokea atakua liable? Kama hamna usijisumbue.Nimekusudia kufungua kesi ya utapeli na ulaghai wa kiroho dhidi ya anayejiita mtume Boniphace Mwamposa. Nina ushahidi wakutosha na mashahidi kadhaa ambao ni waumimi wake walio tapeliwa kwa njia hiyo hiyo.
Je, kisheria utapeli wa kiroho unatambulika ikiwa kuna ushahidi?
DJ piga ULE wimboooSafi sana huwa nikisikia mmebamizwa za mbavu na hayo mambo mnayoita kiroho nasikia raha sana.
kutofanya juhudi yoyote ya kukemea maovu yanayofanyika kwa jina la MUNGU aliye hai, ni uhalifu wa kirohoBiblia inasema usimjibu mpumbavu usije fanana nae methali hioo mkuu
Kaenda mwenyewe
Kanunua mwenyewemaji mafuta
Karudi mwenyewe
Hahahaaaahahaaaaaa jimalixee baba jimalixee ujamalizaa hapoo atasema yotee
Dj nipe wimboooookutofanya juhudi yoyote ya kukemea maovu yanayofanyika kwa jina la MUNGU aliye hai, ni uhalifu wa kiroho
Nimekusudia kufungua kesi ya utapeli na ulaghai wa kiroho dhidi ya anayejiita mtume Boniphace Mwamposa. Nina ushahidi wakutosha na mashahidi kadhaa ambao ni waumimi wake walio tapeliwa kwa njia hiyo hiyo.
Je, kisheria utapeli wa kiroho unatambulika ikiwa kuna ushahidi?