Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi betri za gari na matairi unaweza kuzipata wapi ili uuze kwa faida!? Au ndio kariakooHiyo hela njoo uidumbukize kwwnye kuuza matairi na mabetri ya gari pesa yako itarudi fasta tu
Mkuu kama hutojali nipe mchanganuo WA biashara ya tairi za Magari na betri zake.Hiyo hela njoo uidumbukize kwwnye kuuza matairi na mabetri ya gari pesa yako itarudi fasta tu
Hiyo ni pesa ya kujenga jengo moja tu la ZAHANATI.Milioni 200 inatosha kweli?
Bado vifaatiba, dawa, wafanyakazi, usajili, fanicha, nk.Hiyo ni pesa ya kujenga jengo moja tu la ZAHANATI.
Sanaatunajadili
"I'm professionally a doctor or I'm a professional Doctor" Nakusalimia daktariI am professional a doctor Kama hutojali karibu DM tuyajenge mkuu.
Doctors don't study language [emoji1787][emoji1787]"I'm professionally a doctor or I'm a professional Doctor" Nakusalimia daktari
mmh babu duuu unawaza hivyo aisee sikujua kumbeeeeeAcha ujinga. Hapo sio swala la Afya. Au hujaona mtaji... Amka basi kipenzi nasi tutoke...
Humu kuna watu unawasoma unaasikitika tu. Bora wewe umesema. Kuna mtu hapa kasema eti 500m. Ya nini kujiandikia kitu hukijuikaka hapo umedanganya kidogo kwa vifaa vya laboratory kwa kituo cha afya, 30M ni pesa inayojitosheleza na kuzidi maana 25M inatosha kila kitu!.
kunradhi kama nitakua nmekukera
Ona huyu?! Eti 200m ni kujenga jengo moja tu la zahanati. Uongo mtupu, jengo hata 40m haifiki. Kuna zahanati serikali imejenga kwa 50m jengo zima limekamilika mpaka finishing. Tena hapo kuna 10% za michakato ya manunuzi. Ukiangalia layout ya Dispensary hizo kinachopelea kwenye H.C ni wards tu za kulaza wagonjwa max 15.Hiyo ni pesa ya kujenga jengo moja tu la ZAHANATI.
Heri ya mwaka mpya kipenzi....mmh babu duuu unawaza hivyo aisee sikujua kumbeeeee
Hiyo ela mwa zahanati ni kama nakushauri Hapana, ununue kiwanja, ujenge zahanati, ununue vifaa vya hospitali, na pesa za waajiiri, hapo bado kuna mambo ya usajili na kodi,Husika na kichwa taja chajieleza
Naomba Mnipe Strategic Areas, ambalo naweza kufungua Kituo Cha Afya, isipokuwa ndani ya Mkoa Wa Dar Es Salaam.