Kufungulia Nchi? Kurudi Kujivunia Umaskini?

Kufungulia Nchi? Kurudi Kujivunia Umaskini?

Kwani huyo aliyekuwa akifoka kutwa kucha alifanya lipi la maana pamoja na kufoka kwake, kufanya udhalimu na dhuluma za kutisha?
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"
 
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"
Kwa miaka 5+ tulikuwa na rais wa wanyonge na nchi ya wanyonge. Mbona hukuanzisha uzi mkuu kupinga unyonge wetu?
 
Magufuli alikuwa haongezi mshahara, hatoi ajira, hataki wawekezaji, anaua biashara kati ya Tz na nchi jirani, na alikuwa anataka kodi kubwa, sasa hayo yangewezekanaje ndugu yangu? tulikuwa tunaelekea shimoni kwa kasi ya ajabu sana bahati nzuri Mungu akatuokoa
 
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"
Heri ya kuomba kuliko kupora pesa za watu na kuanzisha kodi mpya kwenye vyanzo vile vile vya siku zote
 
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"
Inaonekana Mzee Mwanakijiji ujaelewa maana ya kuifungua nchi na dhana halisi ya umaskini.
 
Mpuuzi sana huyu jamaa hayuko consistent kabisa. Kaandika upumbavu mtupu utadhani wakati wa dhalimu umaskini ulifutika nchini wakati uliongezeka kwa kasi ya kutisha.
Sijui kwanini Wasukuma wana mambo ya kishamba kiasi hiki, Huyu Jamaa alikua kutwa kucha kumsifia Magufuli! Anashindwa kabisa kuzuia hisia zake na haamini kuwa Magufuli amekufa.

Such a nonsense article, ni wapi kufungulia nchi ndio kufungulia umaskini?
 
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"
Kwani kuna siku tulitoka kwenye umasikini?
 
1. Huogopi kuitwa MATAGA?

2. Wewe ni Sukuma Gang!

3. Utaambiwa unamchukia Mama 🤣.

4. Usisahau kuwa huyu Mama hakosolewi! Ukithubutu tu, utaambiwa unamtaka Magufuli ila bahati mbaya harudi tena!
Mama hana tatizo, maana nia haiwezi zidi uwezo... tukumbuke mama wa watu hakuuomba urais wala mama wa watu hakuuomba umakamu wa rais uliompelekea hapo alipo... cha kujiuluza ni mfumo wetu yaani katiba kama kweli ina uwezo wa kutupatia viongozi imara ...
 
Kwa mara ya kwanza faida imeanza kuo ekana ...kwa mara ya kwanza mwez may 2021wafanya kaz wangu 15 nimeweza kuwalipa full salary...nilikiwa nalipa nusu au robo tangu 2018 ..ule mtindo wa kukwapua hela ,kutishana sijui uhujumu uchumi imeisha tangu jamaa 'AFWE'..na kodi stahiki inalipwa..kidogo kidogo nchi inafunguka
 
Inasikitisha sana ukifuatilia page na post mbalimbali za Chadema wanavyotukanwa kwenye comments na wachangiaji.
Kuna group linaitwa Chadema in blood kule facebook yani kila wanachopost ni kutukanwa tu na watu, huko instagram ndiyo balaa kabisa, njoo Jamii forum hali ni hiyo hiyo!

Nimeangalia comments za kwenye hotuba ya Mbowe aliyoitoa akisema vibaya utawala wa hayati Magufuli, kwa kweli ni huzuni raia walivyomtukana Mbowe. Swali la kujiuliza Chadema imefikaje huku?

Enzi za Dr Slaa ulikuwa unavaa gwanda la Chadema kwa maringo yote ,leo tuvae kwa aibu ya kujifichaficha?
Je Tundu Lisu ameharibu image ya chama baada ya kuanza kutetea mabeberu?

Je ni Mbowe ameharibu image ya chama baada ya kuwa anaangushwa na konyagi anasingizia amepigwa na wasiojulikana?, au ule uongo wake wa kuibia familia inapompeleka mahakamani anasingizia amefungiwa akaunti zake na serikali??

Kiukweli inahitajika tathimini ya haraka sana kuikoa na kuirudisha Chadema kwa wananchi ili waiamini tena kama zamani.
Unazungumzia Instagram kule kwa akina Amber Lulu, Harmorapa na akina Gigy Money! Kule ambako wamejaa watu wenye ufinyu mdogo wa uelewa ambao chochote utakachowaambia wanakubali na kupiga makofi!!!

Hao wanaotukana hapa ni akina nani kama sio Misukule ya JPM ambayo na yenyewe waliapa kutetea chochote kile kinachomhusisha Jiwe hata kama ni cha kipumbavu!!

Kila mwenye akili timamu bado anakumbuka sakata la clip ya Gwajima aliyokuwa anawahamasisha watu wa kabila lake wapiganie na kuulinda urais wa JPM!

Walivyo wajinga, walidhani na bado wanadhani urais wa JPM ulitakiwa kutetewa na kupiganiwa na watu wa kabila lake! Matokeo yake, wakiona mtu ana misimamo tofauti na Mungu Mtu wao basi lazima waje juu kwa sababu walishaapa kutetea urais wake!!

Kwahiyo kama watu wenyewe unaowazungumzia ndio hao, wapite hata barabarani kutukana kwa sababu kila mwenye akili timamu anafahamu wapo kwenye wakati mgumu unaotokana na ujinga wao!!

Yaani hapa wanatamani Samia kila siku akosee ili waseme "Angekuwepo JPM..." VERY STUPID!!!

Ajabu zaidi, leo hii wakiona chochote kinaachofanywa na Samia kama kilikuwa hakifanywi na Jiwe, basi wanakuja juu kwa sababu wanaamini Samia anajaribu kumkosoa Mungu Mtu wao!!

Ndo unawashangaa hata watu kama Mzee Mwanakijiji! Yaani pamoja na uelewa alionao bado anajitoa ufahamu kana kwamba hafahamu mahusiano na Kenya yalivurugika sana!!! Cha kushangza zaidi, wala sioni cha ajabu alichoongea SSH...

NI nani mwenye akili zake anayeweza kupinga ukweli kwamba Kenya ni one of the biggest business partner in Tanzania?! SSH alikuwa Ikulu for 5 years... sasa kama aliona kulikuwa na mapungufu pahala, kuna tatizo gani kurekebisha?

OH! Ndo kama nilivyosema hapo awali... wanaona anamkosoa JPM... Mungu Mtu ambae alikuwa hafanyi makosa, na kwahiyo yote yaliyokuwa yanafanywa na yeye ni LAZIMA yaenziwe hata kama ni ya kijinga!!!
 
No matter what happens so long as a spade is called a spade...

Sio tunaambiwa kwamba tunafanya yote kwa pesa zetu kumbe kwa mlango wa jikoni tunaomba..., tunawaita watu mabeberu wakati tunapowaomba ni wadau..., tunaleta propaganda na story za vijiweni kuhusu kila shida zetu kwamba ni beberu mtu akiwaza vingine kalipwa na mabeberu...

Yaani binafsi nilichoka kuishi nchi ya Kusadikika au kwenye the Matrix..., bora tu kuishi kwenye uhalisia...
 
Hii nchi ilikuwa imefungwa na nani?

Wakati nchi inafungwa huyu Madam SSH yeye alikuwa wapi na alikuwa nani?

Kwanini hakusimama na kupinga hadharani mipango ya aliyekuwa Boss wake?

Nini maana ya kuwa Mzalendo? Kama kweli huyu Madam SSH ni mzalendo wa kweli kwanini aliacha tu Boss wake aifunge nchi?

Kama aliona TRA wanakusanya kodi za dhuluma, yeye akiwa kama Makamu wa Rais, Mzalendo wa kweli, Muislamu safi, alichukua hatua gani kwa nafasi aliyokuwa nayo?

Kuna maswali mengi sana ya kujiuliza kabla ya kuanza kushabikia "porojo" za huyu Madam SSH. Nasema ni porojo sababu yeye alikuwa ni namba mbili kwenye uongozi wa JPM na kila kilichofanyika kiwe kizuri au kibaya yeye hawezi kujitenganisha nacho.

Nachelea kusema huyu Madam ni mnafiki tu wa kisiasa, wala hana jipya. I presume she'll go down in history as the weakest President this country has ever had. Time will tell.
 
No matter what happens so long as a spade is called a spade...

Sio tunaambiwa kwamba tunafanya yote kwa pesa zetu kumbe kwa mlango wa jikoni tunaomba..., tunawaita watu mabeberu wakati tunapowaomba ni wadau..., tunaleta propaganda na story za vijiweni kuhusu kila shida zetu kwamba ni beberu mtu akiwaza vingine kalipwa na mabeberu...

Yaani binafsi nilichoka kuishi nchi ya Kusadikika au kwenye the Matrix..., bora tu kuishi kwenye uhalisia...
Leo wakulungwa mmemuamulia huyu Mzee! Safi kabisa
 
Kwanza unalinganisha nchi tofauti kabisa China ya Xiaping na Tanzania ya Samia, hilo ni kosa lakwanza linaloonyesha hujui mlinganisho hata kabla ya kuzungumzia mengine.
China ya Xiaoping ilikuwa tayari. Hawakufungulia tu holela kila takataka zije kuondoa hicho walichokuwa tayari wamekiweka sawa kiwaletee manufa.

Tanzania ya Samia, hivi ni lini imefungwa, na imefungwa vipi? Wawekezaji walizuwiwa kuja kuwekeza; au nati zilikazwa ili wakija hapa wasitufanye kama shamba la bibi?
Nitaonekana kama shabiki wa Magufuli kwenye mambo haya; lakini sikuwahi kupenda yale maovu yake.

Mama asitupeleke tena kujinadi na kunadi mali za taifa hili kwa hasara ya wananchi wake. Ni wakati angalau ahimize, waTanzania wachangamkie fursa nyingi tu zilizopo hapa na aweke mifumo ya kuwawezesha kuliendeleza taifa hili, na siyo kuonyesha kana kwamba maendeleo ya nchi hii bila ya wawekezaji toka nje haiwezi kuendelea. Huku ni kujidharau kusikofaa kabisa.

Na usije ukanirukia na kusema sitaki wawekezaji wa nje. Waje kwa wingi, lakini kwa manufaa ya wananchi wa Tanzania na sio kuja kupora mali zao.
Changamkia sasa fursa hiyo fungua kiwanda au shamba ,wacha vijineno vya kwenye kanga.Taga nini wewe !!??
 
China chini ya Deng Xiaoping alifungulia nchi, huku ndiko mama anavyomaanisha.
Kuondoa vikwazo vya kipuuzi vya kuleta investment na kuondoa urasimu kwenye kuanzisha business.

Sasa kufungulia nchi na kuomba mbona haviendani naona mko busy kutwist maneno yake na kuyafanyia spinning ili kupotosha!

So far so good, Nchi inaenda vizuri vhini ya mama Samia, kafanya kazi nzuri sana kwenye siku zake 50 za kushika usukani, aneonyesha njia nzuri mno
Nilitaka kugonga likes nyingi hapa; kwa bahati mbaga mfumo hauruhusu zaidi ya moja. Safi sana!!
 
Back
Top Bottom