Kufungulia Nchi? Kurudi Kujivunia Umaskini?

Kufungulia Nchi? Kurudi Kujivunia Umaskini?

Tukiacha ushabiki awamu ya tano nchi ilikuwa imejifunga na hali ya mzunguko wa hela ilikuwa ngumu kuanzia kwa wafanyabiashara mpaka wafanyakazi.... ushahidi ni pale JPM mwenyewe kila meimosi alipogoma kuongeza mishahara na kusema mpaka miradi iishe, upande mwingine makampuni kadhaa yalifunga biashara na confidence ya uwekezaji ikawa imeshuka kabisa.. Serikali awamu ya tano ilitoa watu kazini maelfu kwa kisingizio cha vyeti feki na haikuajili kureplace hao waliotoka, Serikali iliacha kuajili maelfu kwa malaki wakabaki mtaani hawana kazi...

Mbinu zilizotumika awamu ya tano kwa kuwataka watu wafunge mikanda ndio maendeleo yaje, ni mbinu za kizamani, karne ya sasa modal za uchumi ni kuleta maendeleo kwa pamoja kwa maana ya maisha ya watu na vitu kwa pamoja hiyo ndio akili.... na ndio tunaposema nchi imefunguka..

Uchumi wa Tanzania ni mdogo, uzarishaji wa Tanzania ni mdogo, watanzania ni masikini wa akili na kipato huu ndio ukweli bila propaganda..Kuifungua nchi ni kufanya wepesi wa mitaji kuja na watanzania kuingia kwenye mzunguko, watu kuja watanzania kupata uzoefu na exposure, investments kubwa kufanyika maelfu na malaki wapate ajira serikali iingize kipato...

Mwisho kabisa, nitajie awamu moja toka uhuru ambayo haijawahi kusaidiwa, kukopeshwa au kupewa msaada...
Humu JF kuna vichwa bwana...!! Naona hadi mtoa post kakimbilia ndani, chumbani na kujificha kabatini..!!

Jamani mjibuni huyu anauliza kama kuna awamu yoyote toka uhuru hadi sasa haijawi kukopa au kuomba msaada..!! Ipo?
 
1. Huogopi kuitwa MATAGA?

2. Wewe ni Sukuma Gang!

3. Utaambiwa unamchukia Mama 🤣.

4. Usisahau kuwa huyu Mama hakosolewi! Ukithubutu tu, utaambiwa unamtaka Magufuli ila bahati mbaya harudi tena!
Sukuma gang mna gubu kama mmepokonywa mume.
 
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"
Pointless, mnasumbuliwa na mawazo ya kidikteta tu.
 
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"

Zamani nilikuwa siamini kuwa hata wanafiki wanazeeka, kwa mchango huu inabidi nibali nilichokuwa naami.
 
inasikitisha sana, dunia pamoja na kuwa na resources zote baada ya watu kuumiza vichwa nyuma huko karne hii kuna mtu anataka kuleta maendeleo kww kutesa na kuumiza watu..

Karne ya sasa iliyojaa resources na maarifa ya kutosha, watu hutumia reources zilizopo na zinazotumiwa na wengine kwenda mbele, mifumo ya kizamani huko chini ya 80's dunia ilikuwa haina resources za kutosha hivyo ilikuwa haina budi kutumia nguvu kwenda mbele...

Kurudisha watu nyuma na kuanza upya mpaka tukae sawa tutakuta dunia iko mbali mnooo na kila siku tutajikuta tunaanza upya..akili ni kuanzia hapa walipo wengine kwa kutumia mifumo ya kidunia ya kisasa na resources zake kwenda mbele...
 
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"

Sukuma Gang era yenu ishaisha,sasa ni zamu ya wapemba na wakwere kutesa.
 
JPM ni rais wa kihistoria hatakuja atokee kama yeye miaka hata 60 mbele. The real definition ya uongozi, uwajibikaji na nidhamu kwa mali ya umma.

Baada ya kusema ukweli huu na mimi ni msukuma?

Nidhamu ya mali ya umma unaijua? Kukopa mijihela kibao ndani ya muda mfupi na miradi hata haijakamilika na kutudanganuya tunatumia fedha zetu za ndani ndio nidhamu? 1.5T imepigwa bila maelezo ndio nidhamu? Kujenga Gbadolite Chato airport ndio nidhamu?
 
Kama wewe unavyoamini kwa sababu mashirika ya serikali China yamefanikiwa kibiashara sana basi hata hapa Tanzania serikali inaweza kufanya biashara na kufanikiwa.
Kwanza unalinganisha nchi tofauti kabisa China ya Xiaping na Tanzania ya Samia, hilo ni kosa lakwanza linaloonyesha hujui mlinganisho hata kabla ya kuzungumzia mengine.
China ya Xiaoping ilikuwa tayari. Hawakufungulia tu holela kila takataka zije kuondoa hicho walichokuwa tayari wamekiweka sawa kiwaletee manufa.

Tanzania ya Samia, hivi ni lini imefungwa, na imefungwa vipi? Wawekezaji walizuwiwa kuja kuwekeza; au nati zilikazwa ili wakija hapa wasitufanye kama shamba la bibi?
Nitaonekana kama shabiki wa Magufuli kwenye mambo haya; lakini sikuwahi kupenda yale maovu yake.

Mama asitupeleke tena kujinadi na kunadi mali za taifa hili kwa hasara ya wananchi wake. Ni wakati angalau ahimize, waTanzania wachangamkie fursa nyingi tu zilizopo hapa na aweke mifumo ya kuwawezesha kuliendeleza taifa hili, na siyo kuonyesha kana kwamba maendeleo ya nchi hii bila ya wawekezaji toka nje haiwezi kuendelea. Huku ni kujidharau kusikofaa kabisa.

Na usije ukanirukia na kusema sitaki wawekezaji wa nje. Waje kwa wingi, lakini kwa manufaa ya wananchi wa Tanzania na sio kuja kupora mali zao.
 
Umemezeshwa pumba yani chadema kuna maneno mmekalili kama vifungu vya bible wote you sound the same.

Kwani chadema ndio walivyosema? 1.5T Prof kama Prof Assad si ndio aliyesema? Deni la taifa kuongezeka ndio chadema walisema? Si waziri ndio aliyesema? Chato airport chadema ndio wamejenga? Si ilisemwa na wabunge bungeni? Jiwe alitapakanya fedha sana kwa ajili ya kufanya biashara ya utumwa kununua wapinzani.
 
Sijui kipi bora, kujua ukweli wa hali yako halafu ukatafuta mbinu za kutoka hapo; au kujipiga kifua kwamba "we are on the right track" wakati hali yako ni dhaifu.
 
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"
Mzee stori za utajiri huenda zilikuwa mbwembwe. Zilitafuna NSSF, PSSSF, etc.
Tuwe wahalisia. Come back to your senses
 
uwezo wako mdogo sana wa kufahamu mambo mbaya zaidi hujui kama upo level ndogo sana ya uelewa, so siwezi poteza muda kukujibu lolote.

Lazima tuwape za chembe hamuwezi kudanganya watu halafu tukae kimya ,nidhamu ya kazi nidhamu ya kazi hiyo kwiooooo??
 
China chini ya Deng Xiaoping alifungulia nchi, huku ndiko mama anavyomaanisha.
Kuondoa vikwazo vya kipuuzi vya kuleta investment na kuondoa urasimu kwenye kuanzisha business.

Sasa kufungulia nchi na kuomba mbona haviendani naona mko busy kutwist maneno yake na kuyafanyia spinning ili kupotosha!

So far so good, Nchi inaenda vizuri vhini ya mama Samia, kafanya kazi nzuri sana kwenye siku zake 50 za kushika usukani, aneonyesha njia nzuri mno
Mama inabidi asomeke. Udadisi huu una maana moja tu...inabidi kuelewa tunaendaje katika kufungua huko nchi. Nchi hii ni kubwa na ina changamoto sana. Namuombea sana mama hekima ya kuongoza. Ana mzigo mkubwa sana mabegani. Na ni lazima tufike tunakokwenda
 
Back
Top Bottom