Kufungulia Nchi? Kurudi Kujivunia Umaskini?

Kufungulia Nchi? Kurudi Kujivunia Umaskini?

Kaja mfalme wa Morocco, tumeomba.

Kaja rais wa Uturuki, tukaomba
Ilipokuja Korona, tukaomba tusamehewe madeni.

Huko kujitegemea kwetu wakati wa Magufuli ni kupi?

Yaani mtu aue Direct Foreign Investments, halafu mseme eti tunajitegemea?
 
Unazungumzia Instagram kule kwa akina Amber Lulu, Harmorapa na akina Gigy Money! Kule ambako wamejaa watu wenye ufinyu mdogo wa uelewa ambao chochote utakachowaambia wanakubali na kupiga makofi!!!

Hao wanaotukana hapa ni akina nani kama sio Misukule ya JPM ambayo na yenyewe waliapa kutetea chochote kile kinachomhusisha Jiwe hata kama ni cha kipumbavu!!

Kila mwenye akili timamu bado anakumbuka sakata la clip ya Gwajima aliyokuwa anawahamasisha watu wa kabila lake wapiganie na kuulinda urais wa JPM!

Walivyo wajinga, walidhani na bado wanadhani urais wa JPM ulitakiwa kutetewa na kupiganiwa na watu wa kabila lake! Matokeo yake, wakiona mtu ana misimamo tofauti na Mungu Mtu wao basi lazima waje juu kwa sababu walishaapa kutetea urais wake!!

Kwahiyo kama watu wenyewe unaowazungumzia ndio hao, wapite hata barabarani kutukana kwa sababu kila mwenye akili timamu anafahamu wapo kwenye wakati mgumu unaotokana na ujinga wao!!

Yaani hapa wanatamani Samia kila siku akosee ili waseme "Angekuwepo JPM..." VERY STUPID!!!

Ajabu zaidi, leo hii wakiona chochote kinaachofanywa na Samia kama kilikuwa hakifanywi na Jiwe, basi wanakuja juu kwa sababu wanaamini Samia anajaribu kumkosoa Mungu Mtu wao!!

Ndo unawashangaa hata watu kama Mzee Mwanakijiji! Yaani pamoja na uelewa alionao bado anajitoa ufahamu kana kwamba hafahamu mahusiano na Kenya yalivurugika sana!!! Cha kushangza zaidi, wala sioni cha ajabu alichoongea SSH...

NI nani mwenye akili zake anayeweza kupinga ukweli kwamba Kenya ni one of the biggest business partner in Tanzania?! SSH alikuwa Ikulu for 5 years... sasa kama aliona kulikuwa na mapungufu pahala, kuna tatizo gani kurekebisha?

OH! Ndo kama nilivyosema hapo awali... wanaona anamkosoa JPM... Mungu Mtu ambae alikuwa hafanyi makosa, na kwahiyo yote yaliyokuwa yanafanywa na yeye ni LAZIMA yaenziwe hata kama ni ya kijinga!!!
Upumbavu unakutesa Sana wewe!!

Jiangalie ulivyo, na usome tena ulichoandika kama kinaendana na ulivyo!!

Mbona unakuwa mpumbavu
 
Sijui kwanini Wasukuma wana mambo ya kishamba kiasi hiki,
Acha upumbavu we Fala!

Kwani kila anayeandika kinyume na matakwa Yako ni msukuma??

Na hata akiwa msukuma Kwa nini umshambulie badara ya kucheza na hoja yake??

Pumbavu zako we kima...!
 
Acha upumbavu we Fala!

Kwani kila anayeandika kinyume na matakwa Yako ni msukuma??

Ma hata akiwa msukuma Kwa nini kunishambulia badara ya hoja yake??

Pumbavu zako we kima...!
Nikishasema nimesema, huo ufala na ukima utabaki nao wewe! Usiniletee njaa zako na ujinga wako, hata hivyo hustahili kujibiwa na Mimi. Una bahati sana
 
1. Huogopi kuitwa MATAGA?

2. Wewe ni Sukuma Gang!

3. Utaambiwa unamchukia Mama 🤣.

4. Usisahau kuwa huyu Mama hakosolewi! Ukithubutu tu, utaambiwa unamtaka Magufuli ila bahati mbaya harudi tena!
Wasukuma tufunge makopo yetu, tumwache mama achape kazi!
 
1. Huogopi kuitwa MATAGA?

2. Wewe ni Sukuma Gang!

3. Utaambiwa unamchukia Mama 🤣.

4. Usisahau kuwa huyu Mama hakosolewi! Ukithubutu tu, utaambiwa unamtaka Magufuli ila bahati mbaya harudi tena!
Yeye ni msukuma gang
Ni MATAGA
Pro Max chawa wa Jiwe
Chato inc.

Yatima anayelia lia!
 
Hivi una habari wakati yeye kajenga reli ambayo ukiunganishwa vipande vyake haiwezi kuvuka hata Dodoma, wenzake hadi wanatoka madarakani waliacha reli kutoka Tanzania hadi Zambia?
Yaani haujatofautisha tu kile unataka tuamini?

Umetumia msamiati mzito mno kwenye ubongo wako hata usiuelewe licha ya wewe mwenyewe kuuandika?

Kwamba, wenzake Hadi wanatoka madarakani walijenga leri Hadi Zambia, lakini ukashindwa pia kutofautisha ni reli aina gani hiyo iliyojengwa kipindi hiko na Aina ya reli ambayo Hayati alikuwa ameianzisha

Lakini pia, ukashindwa tena kutofautisha Kati ya miaka 20 ya utawala wa kiongozi mmoja na utawala wa miaka 5 wa kiongozi mwingine!

Nachoweza kusema, ingawa siwexi kukulazimisha chochote, Ila ninaamini kuna mahali nafsi Yako inakusuta, tena inakusuta zaidi unapochanganya na matusi makalii yenye chuki za kipumbavu
 
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"
ushazeeka, kaote jua ulale
 
Kwani nchi ilifungwa sasa inafunguliwa? Mwekezaji asiyetaka kufuata sheria za nchi au asiyetaka kulipa kodi, na anapokuja anakuja na wafanyakazi wake kutoke nje ya nchi hatumtaki!! Lebo ya kuwa "mwekezaji" haina maana serikali imtetemekee. China walipofungulia wawekezaji walikuwa na sharti kubwa sana kuwa aajiri wachina tu, na hata kama hawajui kazi lazima wafundishwe; hao waliofundishwa ndio waliokwapua teknoloji ya magharibi wakaanazisha viwanda vyao wenyewe.
Hata tukifanya research, Afrika Mashariki tu expatriates wako wengi Tanzania....na hapo kumbuka walikuwa wamepunguzwa mno...Nchi kama Botswana kwanza wameweka mfumo ambapo Expat hawezi kulipwa mshahara zaidi ya mzawa kwenye same level. Sasa SSH alivyowatembelea majirani kiroho safi balozi wetu Simbachawene alipaswa kuwaalika watz ambao ni Expatriates Kenya (waajiriwa) - Hapo ndo ukweli ungejulikana.
 
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"

Kumekucha
Kumekucha
Kumekucha
Kipindi cha Dikteta ulipiga kimyaaa, hata kukemea mauaji uligoma, unyanyasaji wa member na wamiliki wa JF kimyaa pia.

Tunajua kwa kuwa sasa Raisi ni wa #DiniYetu utachonga sana, utafitini Sana.
Na sio wewe tunajua na soon Pengo na Kanisa Katoliki watajitokeza kumyumbisha Mama.
Hakika tutawazomea na kuwakumbusha watu kama nyinyi jinsi mlivyoishi kipindi cha Dikteta Uchwara.
 
Tukiacha ushabiki awamu ya tano nchi ilikuwa imejifunga na hali ya mzunguko wa hela ilikuwa ngumu kuanzia kwa wafanyabiashara mpaka wafanyakazi.... ushahidi ni pale JPM mwenyewe kila meimosi alipogoma kuongeza mishahara na kusema mpaka miradi iishe, upande mwingine makampuni kadhaa yalifunga biashara na confidence ya uwekezaji ikawa imeshuka kabisa.. Serikali awamu ya tano ilitoa watu kazini maelfu kwa kisingizio cha vyeti feki na haikuajili kureplace hao waliotoka, Serikali iliacha kuajili maelfu kwa malaki wakabaki mtaani hawana kazi...

Mbinu zilizotumika awamu ya tano kwa kuwataka watu wafunge mikanda ndio maendeleo yaje, ni mbinu za kizamani, karne ya sasa modal za uchumi ni kuleta maendeleo kwa pamoja kwa maana ya maisha ya watu na vitu kwa pamoja hiyo ndio akili.... na ndio tunaposema nchi imefunguka..

Uchumi wa Tanzania ni mdogo, uzarishaji wa Tanzania ni mdogo, watanzania ni masikini wa akili na kipato huu ndio ukweli bila propaganda..Kuifungua nchi ni kufanya wepesi wa mitaji kuja na watanzania kuingia kwenye mzunguko, watu kuja watanzania kupata uzoefu na exposure, investments kubwa kufanyika maelfu na malaki wapate ajira serikali iingize kipato...

Mwisho kabisa, nitajie awamu moja toka uhuru ambayo haijawahi kusaidiwa, kukopeshwa au kupewa msaada...
Awezi kukuelewa yeye anaishi ughaibuni kwa msaada wa kanisa inasemekana.
 
Kumekucha
Kumekucha
Kumekucha
Kipindi cha Dikteta ulipiga kimyaaa, hata kukemea mauaji uligoma, unyanyasaji wa member na wamiliki wa JF kimyaa pia.

Tunajua kwa kuwa sasa Raisi ni wa #DiniYetu utachonga sana, utafitini Sana.
Na sio wewe tunajua na soon Pengo na Kanisa Katoliki watajitokeza kumyumbisha Mama.
Hakika tutawazomea na kuwakumbusha watu kama nyinyi jinsi mlivyoishi kipindi cha Dikteta Uchwara.
pumba tupu
 
Yaani akili yako inakutuma kuwa Kiongozi ili awe mzuri ni kufokea watu?? Kwani kuna Mtoto? Sisi sio ng'ombe zake.

Kuachia machinga wapange vitu barabarani na kutuaminisha kuwa sisi ni wanyonge ndio uongozi mzuri?

Kwahio unataka Samia nae aanze kujibu watu kuwa " Baki na Mavi yako nyumbani"?? Au "kama huna hela piga mbuzi"?
Anataka Samia aanze kula mahindi barabarani na kulala kwenye mawe
 
Kwani nchi ilifungwa sasa inafunguliwa? Mwekezaji asiyetaka kufuata sheria za nchi au asiyetaka kulipa kodi, na anapokuja anakuja na wafanyakazi wake kutoke nje ya nchi hatumtaki!! Lebo ya kuwa "mwekezaji" haina maana serikali imtetemekee. China walipofungulia wawekezaji walikuwa na sharti kubwa sana kuwa aajiri wachina tu, na hata kama hawajui kazi lazima wafundishwe; hao waliofundishwa ndio waliokwapua teknoloji ya magharibi wakaanazisha viwanda vyao wenyewe.
Kuna suala zima la mgeni kuwa na know how fulani ambayo mzalendo anakuwa hana.

Rais aliongelea wa aina hiyo kwamba kama alishakuwa na permit miaka ya nyuma basi hakuna haja ya kuwepo urasimu wa kumuongezea muda ili aendelee na hiyo kazi.

Kuna aina nyingi tu za utaalam ambazo hatuna wataalam wake watanzania.
 
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"
Kufoka sio sifa mojawapo ya kiongoz bora, Bas Suleiman kweny Bible angemuomba MUNGU ampe sifa ya kufoka ili aweze tawala watu!
 
Kuna suala zima la mgeni kuwa na know how fulani ambayo mzalendo anakuwa hana.

Rais aliongelea wa aina hiyo kwamba kama alishakuwa na permit miaka ya nyuma basi hakuna haja ya kuwepo urasimu wa kumuongezea muda ili aendelee na hiyo kazi.

Kuna aina nyingi tu za utaalam ambazo hatuna wataalam wake watanzania.
hatuna wahasibu?
 
Kwani nchi ilifungwa sasa inafunguliwa? Mwekezaji asiyetaka kufuata sheria za nchi au asiyetaka kulipa kodi, na anapokuja anakuja na wafanyakazi wake kutoke nje ya nchi hatumtaki!! Lebo ya kuwa "mwekezaji" haina maana serikali imtetemekee. China walipofungulia wawekezaji walikuwa na sharti kubwa sana kuwa aajiri wachina tu, na hata kama hawajui kazi lazima wafundishwe; hao waliofundishwa ndio waliokwapua teknoloji ya magharibi wakaanazisha viwanda vyao wenyewe.
Umeandika uongo mtupu. Tuonyeshe evidence ya hiki ulichokisema. Wataalam wa kichina ni zao la mambo matatu mkuu.
1. Kundi la wasomi lililokimbia nchi kutokana na kutokubaliana na sera mbovu za uchumi na kuwa Diaspora ambapo walirudi kwao baada ya kile kilichoitwa "it does matter whether a cat is black or white as long can catch a mice".
2. Sera za elimu nzuri walizokopi kutoka Ulaya na Marekani
3. Jitihada mahsusi za serikali kupeleka wachina nje kujifunza fani mbalimbali.
Haya mambo yote jiwe hakuyataka. Msiongee vitu msivyo na ujuzi navyo jiwe alikuwa anaitia hii nchi shimoni. Lazima ingeanzia 1986 tulipopata msaada wa "recovery program " kutoka taasisi/jumuiya za kimataifa baada ya kuwa desperate kutokana na kushindwa kwa sera za Mwalimu.
 
akina nani ambao hatuna? Yaani wanapatikana Kenya tu. CEO wa vodacom Tanzania lazima awe mkenya?
Wataalam wa mashine za migodini za michakato ya upatikanaji wa madini hatuna.

CEO wa Vodacom kutoka Kenya sio kosa mbona maprofesa wa kitanzania wanafanya kazi Botswana?.

Tuachane na hizi akili za kichoyo. Watanzania wengi tu wanafanya kazi za maana US na ulaya, kwa hiyo na wao wafukuzwe huko ili waje nyumbani?.
 
Back
Top Bottom