Labda wameona ni Bora waweke maneno ya kikristu ili kufanya Balance😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wameona ni Bora waweke maneno ya kikristu ili kufanya Balance😂😂
wakina mayala maeneo kama haya hawaongei. wanangoja wapinzani wakosee
Jpm alikosea sana ilikuwa awafute kabisa duniani siyo tu kuwaita kwenye kamati kwa dharauHata ningekuwa mm ni makamba na kinana ningeropoka niwezavyo. Yaan bashiru na genge lake lakuwaita kwenye kamati ya nidhamu kidharau vile. Kila zama na kitabu chake. Unajua JPM asingekufa alishaanzisha mfumo wake ndani ya ccm ambao ungewatenga kabisa, inamaana matumaini ya wao na kizazi Chao kutamba ulikuwa unapumulia oxygen, Sasa ndani ya Giza ghafla mwanga unaonekana kwann wasifurahie
Wahaini wanatakiwa kunyongwa au kifungo cha maisha. Yeye aliwasamehe wakaja kummalizia. Na sasa imebaki historiaJpm alikosea sana ilikuwa awafute kabisa duniani siyo tu kuwaita kwenye kamati kwa dharau