Hata ningekuwa mm ni makamba na kinana ningeropoka niwezavyo. Yaan bashiru na genge lake lakuwaita kwenye kamati ya nidhamu kidharau vile. Kila zama na kitabu chake. Unajua JPM asingekufa alishaanzisha mfumo wake ndani ya ccm ambao ungewatenga kabisa, inamaana matumaini ya wao na kizazi Chao kutamba ulikuwa unapumulia oxygen, Sasa ndani ya Giza ghafla mwanga unaonekana kwann wasifurahie