Kufuru michango ya harusi ya Dida, mazito yaibuka...

Mungu hukupa wa kufanana na wewe, WAWEZA KUKUTA MWANAUME NDIO MWENYE MDOMO ZAIDI, ANA CHAMBA ZAIDI, ALIFUNGA NDOA ZAIDI.
 

Morris mariaga mpigaji wa town hahaaaa.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]
 
Sana tu...we kaka mjini Sana'a!!!
Hahaha sahvi mbn nko shamba huku
Ila wiki iliyopita nlikuja dar nkapita mitaa ya sinza pale kualalumpa,pembeni kna kuna kibanda jamaa anauza mishikaki nlimkuta wako na wenzao,nkambiwa jamaa anataka kuoa πŸ˜‚πŸ˜‚
Sasa kwa historia ya jamaa mchango utafika kweli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ova
 
Hahaaaa;ila dida jamani nae sijui ana shida gani
 
kama hamjui connection yeyote hapa Town nawashauri muoneni mrangi hapa
 
Usipende kuamini watu (mastaa uchwara) wa bongo....wengi ni wazugaji tu na hawana issue yeyeote.
 
Mwanamke mwenye hekima na busara huwekeza nguvu zake katika kuitafuta ndoa
 
Hivi ni kweli umefariki mkuu? [emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…