Kufuru ya wanadamu inapotaka kubadili sayansi ya Mungu

Kufuru ya wanadamu inapotaka kubadili sayansi ya Mungu

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Ujinga wa Elon Musk ni pale pesa yake inaweza kubadili sayansi ya Mungu. Elon Musk ana mkakati kabambe wa kuhamishia makazi yake kwenye sayari ya Mars na tayari tunaambiwa Huko mji umeshaanza kujengwa

Mungu ametupa Dunia Moja tu kuwa sehemu bora kabisa ya kuishi, tumeichafua na kuinajisi kwa madhambi na kila aina uchafu, tumeigeuza Dunia kuwa kitu kikuu kuu kisichofaa Tena, MATENDO ya ushoga imekuwa agenda ya Dunia, na Sasa wale tuliwaita wazungu zamani leo hii wanalazimisha Dunia yote iwe ya mashoga, tunamjaribu Mungu ili tuione hasira yake.

Mauaji na damu za watu wasio na hatia zinamwagika kuliko hata kuku wanavyochinjwa. Matetemeko makubwa makubwa kwa sasa ishara ya maandalio ya Mungu kuiharibu Dunia.

Leo Musk anakuja na mpango wa kukimbilia Mars. Namhakikishia kwamba Mungu hatamuacha salama. Nimrodi alitaka kujenga mnara utakaomfikia Mungu alipo lakini Mungu alimsambaratisha vibaya mno

Tumuache Mungu aitwe Mungu
 
Ujinga wa Elon musk ni pale pesa yake inaweza kubadili sayansi ya mungu .nakwambia yeye Elon musk anamkakati kabambe wa kuhamishia makazi yake kwenye sayari ya mars na tayari tunaambiwa Huko mji umeshaanza kujengwa ...mungu ametupa Dunia Moja tu kuwa sehemu Bora kabisa ya kuishi .. tumeichafua na kuinajisi kwa madhambi na Kila aina uchafu ...tumeigeuza Dunia kuwa kitu kikuu kuu kisichofaa Tena ,MATENDO ya ushoga imekuwa agenda ya Dunia, na Sasa wale tuliwaita wazungu zamani Leo hii wanalazimisha Dunia yote iwe ya mashoga ...tunamjaribu mungu ili tuione hasira yake.. mauaji na damu za watu wasio na hatia zinamwagika kuliko hata kuku wanavyochinjwa...Matetemeko makubwa makubwa kwa Sasa ishara ya maandalio ya mungu kuiharibu Dunia ...Leo musk anakuja na mpango wa kukimbilia mars namhakikishia kwamba mungu hatamuacha salama !nimrodi alitaka kujenga mnara utakaomfikia mungu alipo lakini mungu alimsambaratisha vibaya mno tumuache mungu aitwe mungu
Wafia dini mna kazi sana
 
ha ha eti Elon mjinga kisa umesoma biblia huko unaona watu wajinga..
 
19xp-musk-vid-2-videoSixteenByNine390.jpg
 
Ujinga wa Elon musk ni pale pesa yake inaweza kubadili sayansi ya mungu .nakwambia yeye Elon musk anamkakati kabambe wa kuhamishia makazi yake kwenye sayari ya mars na tayari tunaambiwa Huko mji umeshaanza kujengwa ...mungu ametupa Dunia Moja tu kuwa sehemu Bora kabisa ya kuishi .. tumeichafua na kuinajisi kwa madhambi na Kila aina uchafu ...tumeigeuza Dunia kuwa kitu kikuu kuu kisichofaa Tena ,MATENDO ya ushoga imekuwa agenda ya Dunia, na Sasa wale tuliwaita wazungu zamani Leo hii wanalazimisha Dunia yote iwe ya mashoga ...tunamjaribu mungu ili tuione hasira yake.. mauaji na damu za watu wasio na hatia zinamwagika kuliko hata kuku wanavyochinjwa...Matetemeko makubwa makubwa kwa Sasa ishara ya maandalio ya mungu kuiharibu Dunia ...Leo musk anakuja na mpango wa kukimbilia mars namhakikishia kwamba mungu hatamuacha salama !nimrodi alitaka kujenga mnara utakaomfikia mungu alipo lakini mungu alimsambaratisha vibaya mno tumuache mungu aitwe mungu
Nan kasema tulipewa dunia moja sasa??? Kabla ya sayansi wenzako wengi waliamin nzi ni ndege.
 
tu me explore zero % ya space unawezaje kusema uhai upo duniani peke yake?
Mkuu, hizo explorations haziishi leo wala kesho na hata 10% bali 3% hawawezi kufikia maana space ni kubwa mno kuliko ardhi, imagine giant bodies zilizoko huko na zenyewe huonekana kama punje ya mchele tu kwenye space, unafahamu kuna bodies huko juu zimeizidi dunia ukubwa kwa elfu nyingi na zinaonekana kama nukta tu.

Ninachokisema nwanadamu anapoteza tu wakati wake wala kamwe hawezi kufanikiwa chochote zaidi ya kurusha satellites za mawimbi ya radio na simu na GPs, pamoja na usafiri kwa anga la kati kwingineko ni ndoto, na tutaishia tu kupata black and white images na kuzigenerate kuwa coloured kwa kufuata colour spectrum basi.

Wahangaike na bahari kwanza wakiweza kufika hata 15% tutatia neno ama mambo ya huko angani ni kupoteza umri tu, na umri wenyewe una thamani mno mkuu.
 
Ujinga wa Elon Musk ni pale pesa yake inaweza kubadili sayansi ya Mungu. Elon Musk ana mkakati kabambe wa kuhamishia makazi yake kwenye sayari ya Mars na tayari tunaambiwa Huko mji umeshaanza kujengwa

Mungu ametupa Dunia Moja tu kuwa sehemu bora kabisa ya kuishi, tumeichafua na kuinajisi kwa madhambi na kila aina uchafu, tumeigeuza Dunia kuwa kitu kikuu kuu kisichofaa Tena, MATENDO ya ushoga imekuwa agenda ya Dunia, na Sasa wale tuliwaita wazungu zamani leo hii wanalazimisha Dunia yote iwe ya mashoga, tunamjaribu Mungu ili tuione hasira yake.

Mauaji na damu za watu wasio na hatia zinamwagika kuliko hata kuku wanavyochinjwa. Matetemeko makubwa makubwa kwa sasa ishara ya maandalio ya Mungu kuiharibu Dunia.

Leo Musk anakuja na mpango wa kukimbilia Mars. Namhakikishia kwamba Mungu hatamuacha salama. Nimrodi alitaka kujenga mnara utakaomfikia Mungu alipo lakini Mungu alimsambaratisha vibaya mno

Tumuache Mungu aitwe Mungu
Kashakuwa mjinga tena 🤣🤣🤣
 
Ujinga wa Elon Musk ni pale pesa yake inaweza kubadili sayansi ya Mungu. Elon Musk ana mkakati kabambe wa kuhamishia makazi yake kwenye sayari ya Mars na tayari tunaambiwa Huko mji umeshaanza kujengwa

Mungu ametupa Dunia Moja tu kuwa sehemu bora kabisa ya kuishi, tumeichafua na kuinajisi kwa madhambi na kila aina uchafu, tumeigeuza Dunia kuwa kitu kikuu kuu kisichofaa Tena, MATENDO ya ushoga imekuwa agenda ya Dunia, na Sasa wale tuliwaita wazungu zamani leo hii wanalazimisha Dunia yote iwe ya mashoga, tunamjaribu Mungu ili tuione hasira yake.

Mauaji na damu za watu wasio na hatia zinamwagika kuliko hata kuku wanavyochinjwa. Matetemeko makubwa makubwa kwa sasa ishara ya maandalio ya Mungu kuiharibu Dunia.

Leo Musk anakuja na mpango wa kukimbilia Mars. Namhakikishia kwamba Mungu hatamuacha salama. Nimrodi alitaka kujenga mnara utakaomfikia Mungu alipo lakini Mungu alimsambaratisha vibaya mno

Tumuache Mungu aitwe Mungu
Elon Musk anaishi ndani ya saa 24 ambazo kila mwanadamu anazo.

Tofauti yake na sisi ni kwamba yeye anatumia vyema kila dakika ndani ya hizo saa kufanya yale anayotamani kufanya
 
Mkuu, hizo explorations haziishi leo wala kesho na hata 10% bali 3% hawawezi kufikia maana space ni kubwa mno kuliko ardhi, imagine giant bodies zilizoko huko na zenyewe huonekana kama punje ya mchele tu kwenye space, unafahamu kuna bodies huko juu zimeizidi dunia ukubwa kwa elfu nyingi na zinaonekana kama nukta tu.

Ninachokisema nwanadamu anapoteza tu wakati wake wala kamwe hawezi kufanikiwa chochote zaidi ya kurusha satellites za mawimbi ya radio na simu na GPs, pamoja na usafiri kwa anga la kati kwingineko ni ndoto, na tutaishia tu kupata black and white images na kuzigenerate kuwa coloured kwa kufuata colour spectrum basi.

Wahangaike na bahari kwanza wakiweza kufika hata 15% tutatia neno ama mambo ya huko angani ni kupoteza umri tu, na umri wenyewe una thamani mno mkuu.
Binadamu wa miaka 2000 iliyopita akifufuka hii leo hataamini anachokiona kwani mambo mengi yamebadilika sana
 
Binadamu wa miaka 2000 iliyopita akifufuka hii leo hataamini anachokiona kwani mambo mengi yamebadilika sana
Mkuu ni kweli, lakini pia kuna mambo ya huko zamani sisi hatuwezi kutafikia kamwe, so ni matter of opportunities tu lakini kufikia hizo stages za kuhamisha center fo life kwenda kwingine hii hata miaka 90000 mbele haiwezekani.
 
Ujinga wa Elon Musk ni pale pesa yake inaweza kubadili sayansi ya Mungu. Elon Musk ana mkakati kabambe wa kuhamishia makazi yake kwenye sayari ya Mars na tayari tunaambiwa Huko mji umeshaanza kujengwa

Mungu ametupa Dunia Moja tu kuwa sehemu bora kabisa ya kuishi, tumeichafua na kuinajisi kwa madhambi na kila aina uchafu, tumeigeuza Dunia kuwa kitu kikuu kuu kisichofaa Tena, MATENDO ya ushoga imekuwa agenda ya Dunia, na Sasa wale tuliwaita wazungu zamani leo hii wanalazimisha Dunia yote iwe ya mashoga, tunamjaribu Mungu ili tuione hasira yake.

Mauaji na damu za watu wasio na hatia zinamwagika kuliko hata kuku wanavyochinjwa. Matetemeko makubwa makubwa kwa sasa ishara ya maandalio ya Mungu kuiharibu Dunia.

Leo Musk anakuja na mpango wa kukimbilia Mars. Namhakikishia kwamba Mungu hatamuacha salama. Nimrodi alitaka kujenga mnara utakaomfikia Mungu alipo lakini Mungu alimsambaratisha vibaya mno

Tumuache Mungu aitwe Mungu
Ni suala la muda tu hayo yatawezekana. Watu wataishi nje ya dunia hii mbona kuna watu wanaishi huko angani kwenye international space station?
 
Ujinga wa Elon Musk ni pale pesa yake inaweza kubadili sayansi ya Mungu. Elon Musk ana mkakati kabambe wa kuhamishia makazi yake kwenye sayari ya Mars na tayari tunaambiwa Huko mji umeshaanza kujengwa

Mungu ametupa Dunia Moja tu kuwa sehemu bora kabisa ya kuishi, tumeichafua na kuinajisi kwa madhambi na kila aina uchafu, tumeigeuza Dunia kuwa kitu kikuu kuu kisichofaa Tena, MATENDO ya ushoga imekuwa agenda ya Dunia, na Sasa wale tuliwaita wazungu zamani leo hii wanalazimisha Dunia yote iwe ya mashoga, tunamjaribu Mungu ili tuione hasira yake.

Mauaji na damu za watu wasio na hatia zinamwagika kuliko hata kuku wanavyochinjwa. Matetemeko makubwa makubwa kwa sasa ishara ya maandalio ya Mungu kuiharibu Dunia.

Leo Musk anakuja na mpango wa kukimbilia Mars. Namhakikishia kwamba Mungu hatamuacha salama. Nimrodi alitaka kujenga mnara utakaomfikia Mungu alipo lakini Mungu alimsambaratisha vibaya mno

Tumuache Mungu aitwe Mungu
kweli ndugu yangu,,,ndo manake unaona kisiwa cha hawaiikililipuliwa na moto wa MUNGU,,,na tangu juzi tarehe 28/82023 MUNGU anafanya yake tena pale georgia marekani,,,,MUNGU ameshusha moto usioeleweka umetoka wapi,,,na mpaka ninavoongea hapa 'bado MUNGU alawapelekea moto,,,,,,,,jina lingine la MUNGU anaitwa "MOTO ULAO"....sodoma na gomora nao walilipuliwa sasa ni zamu ya hao mashoga!!!!!...ujue hawa wapumbavu wliweka mkataba na hayawani lusifer chini ya kivuli cha freemanso kwa muda mrefu sana,,,,wameitesa sana dunia na watu wake,,,sasa MUNGU aka MOTO ULAO ameanza kuwala!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom