Kufuru ya wanadamu inapotaka kubadili sayansi ya Mungu

Kufuru ya wanadamu inapotaka kubadili sayansi ya Mungu

kweli ndugu yangu,,,ndo manake unaona kisiwa cha hawaiikililipuliwa na moto wa MUNGU,,,na tangu juzi tarehe 28/82023 MUNGU anafanya yake tena pale georgia marekani,,,,MUNGU ameshusha moto usioeleweka umetoka wapi,,,na mpaka ninavoongea hapa 'bado MUNGU alawapelekea moto,,,,,,,,jina lingine la MUNGU anaitwa "MOTO ULAO"....sodoma na gomora nao walilipuliwa sasa ni zamu ya hao mashoga!!!!!...ujue hawa wapumbavu wliweka mkataba na hayawani lusifer chini ya kivuli cha freemanso kwa muda mrefu sana,,,,wameitesa sana dunia na watu wake,,,sasa MUNGU aka MOTO ULAO ameanza kuwala!!!!!!!!!
freemason wana hali ngumu kwa sasa na mwamvuli wao wa ushoga na unazi
 
Hawawezi kufika mars wachilia mbali kuishi huko, hizo ni cheap popularities tu ila amini ninachokwambia sehemu inayoruhusu mwanadamu kuishi ni hapa duniani pekee.
Mkuu, hizo explorations haziishi leo wala kesho na hata 10% bali 3% hawawezi kufikia maana space ni kubwa mno kuliko ardhi, imagine giant bodies zilizoko huko na zenyewe huonekana kama punje ya mchele tu kwenye space, unafahamu kuna bodies huko juu zimeizidi dunia ukubwa kwa elfu nyingi na zinaonekana kama nukta tu.

Ninachokisema nwanadamu anapoteza tu wakati wake wala kamwe hawezi kufanikiwa chochote zaidi ya kurusha satellites za mawimbi ya radio na simu na GPs, pamoja na usafiri kwa anga la kati kwingineko ni ndoto, na tutaishia tu kupata black and white images na kuzigenerate kuwa coloured kwa kufuata colour spectrum basi.

Wahangaike na bahari kwanza wakiweza kufika hata 15% tutatia neno ama mambo ya huko angani ni kupoteza umri tu, na umri wenyewe una thamani mno mkuu.
Haya unayo yaona ni nini kama sio mafanikio.
 
Najaribu kuwaza mshikaji aliyegundua ndege hebu fikiri angepeleka wazo lake kwa watu dizaini ya mtoa mada ndo anamweleza "nataka nitengengeneze usafiri unapaa juu mpaka mawinguni alafu baada ya muda unatua sehemu nyingine" mtoa mada angemwambia "kule juu mawinguni ni pa Mungu hutakiwi kwenda huoni wale watu wa Babeli kilicho wakuta, hakika na wewe ghadabu ya Mungu haita kuacha" wafia dini acheni mambo ya kipuuzi Mungu ametupa mamlaka ya kila kitu inabidi tuitumie. sasa wewe wenzako wanatumia akili zao we upo kwa mwamposa unamtolea sadaka utajiri wake uongezeke. idiot
 
Mambo yake muachie mwenyewe...

Anataka awe na uwezo wa kuji clone huko ili aishi milele, kwa hapa duniani sheria za kimataifa zinambana...
 
Back
Top Bottom