Kufuru ya wanadamu inapotaka kubadili sayansi ya Mungu

freemason wana hali ngumu kwa sasa na mwamvuli wao wa ushoga na unazi
 
Hawawezi kufika mars wachilia mbali kuishi huko, hizo ni cheap popularities tu ila amini ninachokwambia sehemu inayoruhusu mwanadamu kuishi ni hapa duniani pekee.
Haya unayo yaona ni nini kama sio mafanikio.
 
Wala hata usijali.

Simnakumbuka habari za mnara wa babeli?.

Ndicho kitawapata hao.
 
Najaribu kuwaza mshikaji aliyegundua ndege hebu fikiri angepeleka wazo lake kwa watu dizaini ya mtoa mada ndo anamweleza "nataka nitengengeneze usafiri unapaa juu mpaka mawinguni alafu baada ya muda unatua sehemu nyingine" mtoa mada angemwambia "kule juu mawinguni ni pa Mungu hutakiwi kwenda huoni wale watu wa Babeli kilicho wakuta, hakika na wewe ghadabu ya Mungu haita kuacha" wafia dini acheni mambo ya kipuuzi Mungu ametupa mamlaka ya kila kitu inabidi tuitumie. sasa wewe wenzako wanatumia akili zao we upo kwa mwamposa unamtolea sadaka utajiri wake uongezeke. idiot
 
Mambo yake muachie mwenyewe...

Anataka awe na uwezo wa kuji clone huko ili aishi milele, kwa hapa duniani sheria za kimataifa zinambana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…