CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Pole sana mkuu.Umenipa uchungu sana , nimeshindwa kufuta namba ya Mzee wangu, Mungu naomba siku moja unikutanishe na Mzee wangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuu.Umenipa uchungu sana , nimeshindwa kufuta namba ya Mzee wangu, Mungu naomba siku moja unikutanishe na Mzee wangu.
Aksante mkuu,Pole sana mkuu.
Miaka 3 mm nina namba ya swahiba wangu mkubwa huu ni mwaka wa 10 sasaKufuta unajiskia vibaya unaona kama unampotezea ama unajaribu kumfuta kicgwani marehemu
Kuiacha nayo ni kujiongezea machungu.
Nilibaki na namba za swahiba wangu na kaka yangu kwenye simu kwa miaka takribani miaka mi3 toka umauti wao uwafike.
Allah awasamehe madhambi yao, hakika nao ni waja si wakamilifu, kukosea ni sehemu ya maisha ya mwanadamu, awapunguzie adhabu za kaburi.
Inauma saana, ni mara chache saana mwanaume kumwaga chozi[emoji24], inatokea mara chache mnoo
kama umepitia hali hii unaelewa.
Utamuona[emoji4]Yeah upo sawa maybe I will see her again ...in heaven I hope so [emoji17][emoji17][emoji853]
Pole sanaMpaka sasa sijafuta namba ya baba yangu
Awe mume, mke, mtoto, mzazi babu au bibi hata rafiki au mpenzi. Marehemu akisha kufa inauma sana kufuta namba zake za simu. Wakati ule wa simu za mezani za Shirika la Posta na Simu, jirani zetu walifiwa na mama yao ambae ndiye alikua na akaunti ya simu.
Walikaa miaka mingi wakilipa ankara kwa jina lile mpaka siku ilitokea matatizo, Posta walimuomba mwenye ankra aende ofisini. Baba alikwenda, alijibiwa tunamtaka mwenye jina. Aliwajibu kuwa mwenye jina ni mke wangu alifariki miaka mitano iliyopita.
Waliomba kuona cheti cha kifo na kujiridhisha, mzee aliambiwa ni kosa la jinai kuendelea kutumia jina la marehemu. Ilibidi jina la ankra kubadilisha even.
Very sorry,Namba ya marehemu dada yangu nimeifuta mwaka jana.
Ni baada ya miaka mi4 kupita.
Kuna muda nilikuwa naiangalia na kujipa matumaini ya kusadikika kwamba itaita.
Siku naifuta nililia sana Sana.
Nililia mno.
Pole sana bestSidhani Kama nitaweza futa namba za wazazi wangu..juzi nimeangalia namba ya Mama nilikuwa natamani hata iite angalau aniambie chochote dah!!..sijui kama nitafuta namba zao.
Asante.Very sorry,
Dani.eniumiza sana hii.Awe mume, mke, mtoto, mzazi babu au bibi hata rafiki au mpenzi. Marehemu akisha kufa inauma sana kufuta namba zake za simu. Wakati ule wa simu za mezani za Shirika la Posta na Simu, jirani zetu walifiwa na mama yao ambae ndiye alikua na akaunti ya simu.
Walikaa miaka mingi wakilipa ankara kwa jina lile mpaka siku ilitokea matatizo, Posta walimuomba mwenye ankra aende ofisini. Baba alikwenda, alijibiwa tunamtaka mwenye jina. Aliwajibu kuwa mwenye jina ni mke wangu alifariki miaka mitano iliyopita.
Waliomba kuona cheti cha kifo na kujiridhisha, mzee aliambiwa ni kosa la jinai kuendelea kutumia jina la marehemu. Ilibidi jina la ankra kubadilishwa.