Kufuta namba ya simu ya unaempenda akifariki ni Jambo kubwa, omba yasikufike

Kufuta namba ya simu ya unaempenda akifariki ni Jambo kubwa, omba yasikufike

holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,859
Reaction score
2,986
Wakuu,
Omba yasikukute, narudia tena omba yasikukute, kufuta namba ya simu ya mtu uliyekuwa unampenda kwa dhati ni jambo gumu mno.

Wakuu, mpenzi wangu amefiwa na shangazi yake ambaye kiukweli nilimpenda sana, nilizoeana nae vya kutosha, yeye ndiye nguzo kuu ya mahusiano yetu na wiki mbili zijazo tulikuwa tunatarajia kufunga ndoa

Moyo unaniuma na naumia sana kufuta namba yake RIP shangazi umeacha legacy ambayo haitafutika maishani mwangu.

Mungu awatie nguvu,ukuaji mwema mapacha wa wiki 3 uliowaacha.

Nenda shangazi see you again.
 
Wakuu,
Omba yasikukute,narudia tena omba yasikukute,kufuta namba ya simu ya mtu uliyekuwa unampenda kwa dhati ni jambo gumu mno.

Wakuu,mpenzi wangu amefiwa na shangazi yake,ambaye kiukweli nilimpenda sana, nilizoeana nae vya kutosha,yeye ndiye nguzo kuu ya mahusiano yetu na wiki mbili zijazo tulikuwa tunatarajia kufunga ndoa

Moyo unaniuma na naumia sana kufuta namba yake RIP shangazi umeacha legacy ambayo haitafutika maishani mwangu.

Mungu awatie nguvu,ukuaji mwema mapacha wa wiki 3 uliowaacha. nenda shangazi see you again.
Kabla sijamakiza kusima Uzi achana na NDOA haraka sana!!
 
Leo was thinking of the same aiseee, niko hapa Mpanda nilikua nikaonane na Jamaa mmoja alikua anafanya kazi Hopsitali ya Wilaya ya Tanganyika, Dah naambiwa mbona jamaa alishafariki tangu kwenye mbio za Mwenge? nikatafuta kwa simu namba yake, nikaaangalia kisha nikaifuta, mmmgh very painful. Rest Well Dr Faraja
 
Leo was thinking of the same aiseee, niko hapa Mpanda nilikua nikaonane na Jamaa mmoja alikua anafanya kazi Hopsitali ya Wilaya ya Tanganyika, Dah naambiwa mbona jamaa alishafariki tangu kwenye mbio za Mwenge? nikatafuta kwa simu namba yake, nikaaangalia kisha nikaifuta, mmmgh very painful. Rest Well Dr Faraja
pole sana mkuu pia, mpanda ni nyumbani. Kuna shemeji yangu huko.
 
Back
Top Bottom