Nduli katili sana hili ngoja tuliandalie mwisho wake.Beberu la kiafrika!View attachment 1488566
Tusaidie bwana tuondokane na Nduli huyu anatutesa sana mkuu.Nilisema juzi hakuna sababu ya Chama chochote tumia nguvu ninazo njia 4 7 kwa chama chochote kinancho taka ushindi wa dola hasubui SAA nne but Chama kinachotaka kinilipe
Askofu anawataka wananchi wavae nguo nyeupe wakati akijua dhahiri yeye anavaa joho jeupe kwa imani yake haikubaliki hataAskofu yeye anategemea sadaka amewaponza wenzake wanaotegemea uandishi wa habari
Most ackward response 🤨🤨Askofu yeye anategemea sadaka amewaponza wenzake wanaotegemea uandishi wa habari
Tatizo kura hazipigwi jf wala twitter. Wapigakura wengi kwao demokrasia na utawala bora ni vigezo visivyo na nguvu wanapopima viongozi/uongozi. Huo ndiyo ukweli mchungu. Jiandae kumaliza mwaka ukiwa na majonzi.Nduli katili sana hili ngoja tuliandalie mwisho wake.
Lusinde typeMost ackward response 🤨🤨
Ungepunguza ujinga na wewe basi! Hivi unadhari ni fahari?Askofu yeye anategemea sadaka amewaponza wenzake wanaotegemea uandishi wa habari
Mwiso wa nini,kuishi ama kuongoza?Nduli katili sana hili ngoja tuliandalie mwisho wake.