NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
kwanza gazeti la Tanzania daima washtakiwe kwa kueneza chuki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisema juzi hakuna sababu ya Chama chochote tumia nguvu ninazo njia 4 7 kwa chama chochote kinancho taka ushindi wa dola hasubui SAA nne but Chama kinachotaka kinilipe
Gombea hata ubunge na utumie hiyo 4 7 yako kushindaNilisema juzi hakuna sababu ya Chama chochote tumia nguvu ninazo njia 4 7 kwa chama chochote kinancho taka ushindi wa dola hasubui SAA nne but Chama kinachotaka kinilipe
IkiwezekanaMwiso wa nini,kuishi ama kuongoza?
Manduli wote wanakuwaga na mwisho mmbaya sana: Idd Amin, Mobutu, Ghaddafi, Sadam Hussein, Mugabe, Hosni Mubarak, n.k. Sote tunajua walivyoishia, haitokuwa tofauti hata afanye nini, kanuni ni ile ile.Mwiso wa nini,kuishi ama kuongoza?
Poleni sana wazazi najua hamkujua kama atakua hivi ila ndiyo hivyoAskofu yeye anategemea sadaka amewaponza wenzake wanaotegemea uandishi wa habari
![]()
ALJAZEERA wanaripoti, kabla ya kufutiwa leseni, wahariri wa Tanzania-Daima walihojiwa kuhusu kuchapisha habari ya Askofu Bangoza kuwataka wananchi wavae nguo nyeupe siku ya kuadhimisha kuzaliwa TANU, saba saba, na kuungana na taasisi za kisiasa na kijamii kudai Tume Huru ya uchaguzi.
LAKINI tuliambiwa na serikali, taarifa kwa umma, kwamba gazeti limeandika habari ya uongo na uzandiki.
Kwa hiyo Askofu Bangoza hakusema maneno hayo?
Tunaomba kuuliza.
Gazeti la Cha PView attachment 1488886
Unapaswa kukamatwa kwa uchochezi......Beberu la kiafrika!View attachment 1488566
Hata mwisho wa nduli Mbowe utakuwa mbaya sana.Manduli wote wanakuwaga na mwisho mmbaya sana: Idd Amin, Mobutu, Ghaddafi, Sadam Hussein, Mugabe, Hosni Mubarak, n.k. Sote tunajua walivyoishia, haitokuwa tofauti hata afanye nini, kanuni ni ile ile.
Nyie mataga na wengine kutoka chattle mnaharibu nchi hii kwa ushamba wenu na njaa zenu. Pia mkumbuke kila tone la damu inayomwagika kwasababu mnataka kumridhisha Nduli wenu basi nyie nanyi mtajibu mbele ya haki kwa kushiriki kwenu kwenye mauaji na mateso ya watu.Hata mwisho wa nduli Mbowe utakuwa mbaya sana.
Tanzania ndo nchi yenye amani kwa asilimia mia.hata nyinyi mnaojaribu kuvuruga amani,kabla ya kushughulikiwa na serikali Mungu anawashughulikia kwanza.Nyie mataga na wengine kutoka chattle mnaharibu nchi hii kwa ushamba wenu na njaa zenu. Pia mkumbuke kila tone la damu inayomwagika kwasababu mnataka kumridhisha Nduli wenu basi nyie nanyi mtajibu mbele ya haki kwa kushiriki kwenu kwenye mauaji na mateso ya watu.
Juzi nilikuwa naangalia list ya nchi zenye amani zaidi Africa nikashangaa namba 1 hadi 10 Tanzania haipo. Mwaka 2014 tulikuwa namba 4 Afrika.Tanzania ndo nchi yenye amani kwa asilimia mia.hata nyinyi mnaojaribu kuvuruga amani,kabla ya kushughulikiwa na serikali Mungu anawashughulikia kwanza.
[emoji848][emoji144]Juzi nilikuwa naangalia list ya nchi zenye amani zaidi Africa nikashangaa namba 1 hadi 10 Tanzania haipo. Mwaka 2014 tulikuwa namba 4 Afrika.
Wakati Saadam Hussein akiwa anashambuliwa vikali na majeshi ya USA na kukimbia kujificha shimoni, mwana propaganda wake alikuwa anawaambia wa-Iraq: tunawapiga Wamarekani mabomu kila upande... we are bombing them....., we are bombing them everywhere,....we are bombing them..., Baadaya siku chache Sadam Hussein alikamatwa akiwa amejificha kwenye shimo. Ndio, dikteta Sadam Hussein kwenye shimo.Tanzania ndo nchi yenye amani kwa asilimia mia.hata nyinyi mnaojaribu kuvuruga amani,kabla ya kushughulikiwa na serikali Mungu anawashughulikia kwanza.
Kama Mbowe alivyomfanya Chacha Wangwe R.I.P,na kumtisha Sumae kwa kumwambia sumu aionjwi.Wakati Saadam Hussein akiwa anashambuliwa vikali na majeshi ya USA na kukimbia kujificha shimoni, mwana propaganda wake alikuwa anawaambia wa-Iraq: tunawapiga Wamarekani mabomu kila upande... we are bombing them....., we are bombing them everywhere,....we are bombing them..., Baadaya siku chache Sadam Hussein alikamatwa akiwa amejificha kwenye shimo. Ndio, dikteta Sadam Hussein kwenye shimo.
Ujinga wako.Kama Mbowe alivyomfanya Chacha Wangwe R.I.P,na kumtisha Sumae kwa kumwambia sumu.aionjwi.