Kufuturishana Wabunge Dodoma ni rushwa, ni nchi gani nyingine ina huu utaratibu?

Kufuturishana Wabunge Dodoma ni rushwa, ni nchi gani nyingine ina huu utaratibu?

Ukweli ni kuwa ni vile imeshakuwa brand tu lakini crdb ni benki moja ya hovyo sana hata huduma zao ni mbovu sana kwa sasa. kama mtu haamini unaweza ukatembelea hata matawi yao makubwa utashangaa.

Kama tawi lao la mlimani city, dar, ndiyo hovyo kabisa. limejaza wapumbavu watupu hata hawajui namna ya kuwahudumia wateja.

Sishangai kuona benki iko bize kuwafuturisha mafisadi na waporaji wa kura za watu
True crdb ina mambo ya kijamaa sana sio CRDB nilitokuwa naifahamu mimi
 
Wabunge waache huu utaratibu wa kufuturishwa kule Dodoma, Bunge linazidi kuwa too low sana, Juzi niliona Benki ya CRDB inawafuturisha, sasa chukulia kwamba Benki ikajikuta kwenye kashifa kubwa za pesa, hawa Wabunge wataanza kuona aibu ya kuishughurikia kisa inawafuturishaga.

Vipi na Majaji na wao wakaitwa sehemu na kampuni au Kiongozi then wa kafuturishwa?

Jana Waziri mkuu kawafururisha Wabunge, huyu ni mmoja wa wanao takiwa kuwajibika kutokana na Ufisadi kwenye report but now anafuturisha wabunge, Wabunge hawa lazima waje kuona aibu kumshughurikia waziri mkuu.

Nimejaribu kuchimbua kuona hata kwa EAC ni wapi kwingine huwa bunge lao linafuriswa kipindi cha mfungo, nikakuta hakuna, nimejaribu kutafuta ni wapi kampuni kubwa zinafuturisha wabunge nako nimekosa.

Kenya wana Makampuni makubwa kwa mitaji kuliko haya yetu ila sijawahi sikia Safaricom au Kenya Comercial Bank inafuturisha viongozi wa kisiasa, kufanya hivyo ni tafasir ya rushwa moja kwa moja.

Kufuturisha watu ni jambo jema, shida ni pale linapo fanyiwa taasisi tena taasisi nyeti sana nchi hii.CRDB angesema anafuturidha wateja wake Dodoma na huko ndani Wabunge wakawemo kama wayeja, hilo lisingekuwa ni tatizo, ila pale Futari inapo kuwa maalumu tu kwa Wabunge hapo ni tatizo.

Na sio hili tu huwa naona mara timu ya bunge inapokea sijui vifaa vya michezo kutoka NMB mara sijui wapi, huu ni ujinga, sijui kama kuna watu wenye akili pale Dodoma wawaambie wakina Spika kwamba inapaswa Bunge kuachana na kupokea aina yoyote ya Zawadi, kama ni jezi wanakosa pesa za kununua jeszi na vifaa vya michezo?

Bunge libakuwa too low sana, lina tia aibu sana na mbaya hakuna anaye shitukia huu utaratibu wa kishamba sana.

Hata kwa wenye Dini yao huko Mashariki ya kati huwezi kuta Wanasiasa eti wanafuturishwa sijui na taasisi gani au Spika anafuturisha wanasiasa wake.

View attachment 2586061View attachment 2586062
Ni wakati wao@
 
Ila wanaofuturu ni Wabunge waislam sio wabunge wote kwa iyo hawa ndio watashindwa kuongea maana wamekula..futar ila wengine wataongea tu
 
Ukweli ni kuwa ni vile imeshakuwa brand tu lakini crdb ni benki moja ya hovyo sana hata huduma zao ni mbovu sana kwa sasa. kama mtu haamini unaweza ukatembelea hata matawi yao makubwa utashangaa.

Kama tawi lao la mlimani city, dar, ndiyo hovyo kabisa. limejaza wapumbavu watupu hata hawajui namna ya kuwahudumia wateja.

Sishangai kuona benki iko bize kuwafuturisha mafisadi na waporaji wa kura za watu
benki nyingine imefuturisha jana haha
 
Wabunge waache huu utaratibu wa kufuturishwa kule Dodoma, Bunge linazidi kuwa too low sana, Juzi niliona Benki ya CRDB inawafuturisha, sasa chukulia kwamba Benki ikajikuta kwenye kashifa kubwa za pesa, hawa Wabunge wataanza kuona aibu ya kuishughurikia kisa inawafuturishaga.

Vipi na Majaji na wao wakaitwa sehemu na kampuni au Kiongozi then wa kafuturishwa?

Jana Waziri mkuu kawafururisha Wabunge, huyu ni mmoja wa wanao takiwa kuwajibika kutokana na Ufisadi kwenye report but now anafuturisha wabunge, Wabunge hawa lazima waje kuona aibu kumshughurikia waziri mkuu.

Nimejaribu kuchimbua kuona hata kwa EAC ni wapi kwingine huwa bunge lao linafuriswa kipindi cha mfungo, nikakuta hakuna, nimejaribu kutafuta ni wapi kampuni kubwa zinafuturisha wabunge nako nimekosa.

Kenya wana Makampuni makubwa kwa mitaji kuliko haya yetu ila sijawahi sikia Safaricom au Kenya Comercial Bank inafuturisha viongozi wa kisiasa, kufanya hivyo ni tafasir ya rushwa moja kwa moja.

Kufuturisha watu ni jambo jema, shida ni pale linapo fanyiwa taasisi tena taasisi nyeti sana nchi hii.CRDB angesema anafuturidha wateja wake Dodoma na huko ndani Wabunge wakawemo kama wayeja, hilo lisingekuwa ni tatizo, ila pale Futari inapo kuwa maalumu tu kwa Wabunge hapo ni tatizo.

Na sio hili tu huwa naona mara timu ya bunge inapokea sijui vifaa vya michezo kutoka NMB mara sijui wapi, huu ni ujinga, sijui kama kuna watu wenye akili pale Dodoma wawaambie wakina Spika kwamba inapaswa Bunge kuachana na kupokea aina yoyote ya Zawadi, kama ni jezi wanakosa pesa za kununua jeszi na vifaa vya michezo?

Bunge libakuwa too low sana, lina tia aibu sana na mbaya hakuna anaye shitukia huu utaratibu wa kishamba sana.

Hata kwa wenye Dini yao huko Mashariki ya kati huwezi kuta Wanasiasa eti wanafuturishwa sijui na taasisi gani au Spika anafuturisha wanasiasa wake.

View attachment 2586061View attachment 2586062
Naona itafika Siku tusikie hata kujisaidia Kwa wabunge ni rushwa

Chuki ni kitu kibaya sana

Acha watu waishi
 
Alafu hawajafunga ...ni wiz tu. 2025 hatuwachagui tena
 
Back
Top Bottom