Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufutwa kwa mradi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni ujumbe wenye taarifa kamili kwamba awamu ya tano inadharau mipango na miradi mizuri iliyoanzishwa na awamu ya 4.
Lkn pia, hatua hii inaua ndoto na matumaini ya kupunguza umaskini kwa watu wa Pwani kupitia mradi huu ambao ulipambaniwa na kufanikisshwa na mpwani mwenzao (rais wa awamu ya 4).
Mbona Chato kunajengwa viwanja vya ndege nje kabisa ya bajeti hatusemi?
Mbona Chato kunajengwa maghorofa yanayokaliwa tu na popo hatusemi?
Mbona Chato kunawekwa mataa barabarani zinazoishia kuongoza mikokoteni hatusemi?
Hii siyo dharau kwa rais Kikwete na watu wa Pwani?
N.B Bado hawajasahau majibu ya nyodo waliopewa walipo omba kiwanda cha kusindika nanasi: "rais wa awamu ya 4 anatoka hapa na analima nanasi, hakujenga. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije nijenge?"
Kufutwa kwa mradi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni ujumbe wenye taarifa kamili kwamba awamu ya tano inadharau mipango na miradi mizuri iliyoanzishwa na awamu ya 4.
Lkn pia, hatua hii inaua ndoto na matumaini ya kupunguza umaskini kwa watu wa Pwani kupitia mradi huu ambao ulipambaniwa na kufanikisshwa na mpwani mwenzao (rais wa awamu ya 4).
Mbona Chato kunajengwa viwanja vya ndege nje kabisa ya bajeti hatusemi?
Mbona Chato kunajengwa maghorofa yanayokaliwa tu na popo hatusemi?
Mbona Chato kunawekwa mataa barabarani zinazoishia kuongoza mikokoteni hatusemi?
Hii siyo dharau kwa rais Kikwete na watu wa Pwani?
N.B Bado hawajasahau majibu ya nyodo waliopewa walipo omba kiwanda cha kusindika nanasi: "rais wa awamu ya 4 anatoka hapa na analima nanasi, hakujenga. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije nijenge?"
Achana naye huyu, anaishi ndotoni.Bahari ambayo mna Uhuru nayo haijawatoa umaskini, bandari ya wa China itawatoaje umaskini?, Acha uchochezi wa kitoto
NDUGU KAMA HUKUSIKIA UCHANGANUZI WA MRADI WA BANDARI YA BAGAMOYO HIVI MAJUZI BASI UTAKUWA UKO NYUMA AU KAMA UMESHAJUA KUWA KULIKUWA NA CHANGAMOTO NYINGI BAINA YA WATU WA UCHINA/OMAN NA SERIKALI YETU KATIKA MAKUBALIANO BASI USIWE BIAS NA KUCHOCHEA UHASAMA WA UKANDA AU UBAGUZI WA AINA YOYOTE. MIMI NATOKEA KASKAZINI NA INAFAHAMIKA KUWA UPINZANI UMETAMALAKI KULE NA KUNA CHANGAMOTO ZAKE KULE KWAHIYO NAKUELEWA FIKA.Kufutwa kwa mradi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni ujumbe wenye taarifa kamili kwamba awamu ya tano inadharau mipango na miradi mizuri iliyoanzishwa na awamu ya 4.
Lkn pia, hatua hii inaua ndoto na matumaini ya kupunguza umaskini kwa watu wa Pwani kupitia mradi huu ambao ulipambaniwa na kufanikisshwa na mpwani mwenzao (rais wa awamu ya 4).
Mbona Chato kunajengwa viwanja vya ndege nje kabisa ya bajeti hatusemi?
Mbona Chato kunajengwa maghorofa yanayokaliwa tu na popo hatusemi?
Mbona Chato kunawekwa mataa barabarani zinazoishia kuongoza mikokoteni hatusemi?
Hii siyo dharau kwa rais Kikwete na watu wa Pwani?
N.B Bado hawajasahau majibu ya nyodo waliopewa walipo omba kiwanda cha kusindika nanasi: "rais wa awamu ya 4 anatoka hapa na analima nanasi, hakujenga. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije nijenge?"
HAYAWANI AWEZI KUWA MWANA MAARIFA MZURI MAISHANI, WAKUPUUZWA TU.Ukanda utakuua
ABSOLUTELY WHITE TRUTH. MERCIWatanzania jamani tuache siasa. Hata kama mradi ni mbovu na mikataba mibovu sio lazima tuingie kwasababu itanufaisha tabaka fulani tu. Lazima inufaishe kila mmoja na serikali ikipata mapato yake. Kuna baadhi ya vitu tuwachie wataalamu sio siasa kila wakati.
AISEE KAMA UNA UGONJWA WA UKANDA MPAKA AWAMU HII YA TANO I CAN REALLY DOUBT YOUR FUTURE BROTHER.. POLE SANA. WATU WA KASKAZINI TUNAKUPENDA MTANZANIA MWENZETU."Kamwe Rais hatawai kutoka Kaskazini". Hahahahaaaa mkidhani mnamkomoa Lowasa sasa mmebaki mkilialia kama mikondoo mipumbavu.
Kamoooonnn fanyeni kazi
Mbaaff
Mbona haya majibu,mi naona sawa sawa kabisaKufutwa kwa mradi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni ujumbe wenye taarifa kamili kwamba awamu ya tano inadharau mipango na miradi mizuri iliyoanzishwa na awamu ya 4.
Lkn pia, hatua hii inaua ndoto na matumaini ya kupunguza umaskini kwa watu wa Pwani kupitia mradi huu ambao ulipambaniwa na kufanikisshwa na mpwani mwenzao (rais wa awamu ya 4).
Mbona Chato kunajengwa viwanja vya ndege nje kabisa ya bajeti hatusemi?
Mbona Chato kunajengwa maghorofa yanayokaliwa tu na popo hatusemi?
Mbona Chato kunawekwa mataa barabarani zinazoishia kuongoza mikokoteni hatusemi?
Hii siyo dharau kwa rais Kikwete na watu wa Pwani?
N.B Bado hawajasahau majibu ya nyodo waliopewa walipo omba kiwanda cha kusindika nanasi: "rais wa awamu ya 4 anatoka hapa na analima nanasi, hakujenga. Mlisubiri mm niwe rais ndiyo nije nijenge?"
Kila awamu na taratibu zake
Mnalishwa Matango pori nanyi mlivyo Vibendera mnakurupuka hata hamjui yaliyopo ndani
Subirieni Magu aondoke Mkaijenge
Watanzania tuna utamaduni mbaya sana kila kitu ni personal. Sasa deni la $10B tutalipaje wakati kuna deni la treni ya umeme na hata hatuna pesa za kumalizia. Wanaosema pesa si zetu waambie je ukikopa bank pesa ni zako? lakini deni ni lako na riba ni yako. Hii project haina tija wala umuhimu kwa sasa. Kuna sehemu nyingi nzuri zaidi zinahitaji pesa kama airport ya kisasa ya KIA, masoko ya kisasa ya kilimo, uwekezaji wa kilimo cha kisasa, tunahitaji mji wa technologia na kuingiza technologia majumbani, maji vijijini kote na umeme wa bei nafuu. Hivi ni vitu vya kukamilisha kwanza. Huu mradi ni wa kisifa tu