Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Hawa jamaa wanalegea na kuvuta miguu , Naomba Wasiposhinda Wakirudi Wakabangue Korosho maana watakua wameshindwa kulitetea taifa uwanjani Basi wakalitetee taifa kwenye ubanguaji wa korosho.
 
Toa mudathri weka fei toto, toa bek 3 weka kichuya gadiel arudi 3.. toa mao mkami weka bocco .chilunda apande juu.
Tunashinda.
Gadiel hutakiwi hata benchi achalia mbali uwanjani
 
Ka Kichuya ka nn
 
Ila kwa kweliiiiii ....preshaa tena
 
Bora wewe moyo wa chuma utavumiliaa
Duh! Aiseee hii timu yetu kama gari la shamba Trip moja gereji trip nyingine shamba......kocha naye sijui hana kikosi maalumu huyu mweee......tunapeana presha tu
 
Ni kipindi cha ngapi hiki? Tupeni updates tunaotegemea JF, wengine tuliacha kuangalia hizo tv siku nyingi tu.
 
Hiyo ndiyo taifa starz
Bora tushabikie siasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…