Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Nitarudi ngoja mpira uishe. Ila sioni dalili ya kurudi na pointi 3.
 
Yaani hapo ndio wamekaa kambi SA siku 10 je wangebakia bongo?
 
Reactions: Lee
Mi bado naumiza akili kufikiri kuhusu huyu kocha wetu kimeo. Hivi kweli hao wachezaji aliowapanga wabovu hao hata simba na yanga wameshindwa kuwaona ubora wao kiasi kwamba wameshindwa hata kuwasajili kweli? Maana nijuavyo mchezaji yoyote mzuri ni lazima ataenda simba, yanga au azam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…