Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Yapo baadhi ya mataifa yalitoa adhabu Kali sana baada ya wachezeji wao kuleta matokeo mabaya?? Ni dhamu yetu sasa!!!
FB_IMG_1542542844114.jpg
 
Huu ni upuuzi hatuwezi kuwa malaya wa kisoka kila mwanaume anatuingilia kila siku. Hatuwezi kuwa makahaba wa FIFA kila nchi inatuingilia, ifikie hatua ukubwa wetu uwe chachu ya mafanikio katika soka.

Ukubwa wetu ni wa nini kama hata kuifunga Lesotho hatuwezi! Ukubwa bila akili bora usiwepo kabisa kwenye uso wa dunia.

[emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]
 
Hii timu inakera kweli. Naacha kuangalia Xxx nasema ngoja leo nikae na simu nijaze Bando ya kutosha niangalie Taifa Stars, anashindwa kuokoa MB zangu zinaenda bure bure hivihivi kabisa?

Kwa nini msingeniambia nikomae na phonerotica muda huu ningekuwa namalizia episode ya 3 [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22].
Aiseee
 
Amunike will not take us anywhere. Very poor team selection. We needed to win and he went for a defensive outfit.
He did a Mourinho.

We can simply forget about going to AFCON.
 
Full- time

Lesotho 1 Tanzania 0

Tunalingana points na Lesotho na ni lazima tuwafunge Uganda.
Tumeshindwa Wafunga Hawa Uganda Tutaweza!

Goli Linafungwa Kuna Kipa Na Wachezaji Kama Wote Mpira Unapita Kati Yao,Goli Linaingia Wanabaki Wanashangaana Kweli.
 
Napata taabu sana kuamini kama nani anastahiki kwenda Cameroon Tanzania au Lesotho.

cc: tindo
 
Sasa ule muda wa kuzitapika pesa za watanzania umewadia.
 
Back
Top Bottom