Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Pesa ya Ikulu haijawahi kuwaacha Taifastars salama! Poleni vijana.
 





Hahaha ni balaa.
 
Kimsingi tumeshatoka. Hatuna zuri tunaloweza. Wajiandae kuja kutapika hela za bwana yule.
 
Reactions: ram
Taifa star huwa wakisifiwa mechi inayofuata wanafanya hivyo. Tunamuomba mkulu awafikishie mtwara kubeba korosho
Kwakwel ndomana alikataa kuwasifiwa gam ya cap vede
 
Hii mechi kocha Amunike anastahili lawama [emoji817]%. Lesotho huwezi kuwalinganisha hata na cape verde. Imepangwa timu mbovu! Mbovu! Ufundi wa kujaribu watu kwenye mechi muhimu kama hii ni kutafuta aibu ambayo lazima uwe tayari kubeba lawama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…