Nilivyomuona Mwakiembe basi nikajua hatushindi hata tukiingia na mawe mfukoni
Hamna itategemea atamfunga magoli mangapiTutolewe tu hamna namna
Wanawapamba tu ila hakuna kitu..timu gani haiwezi kufanya hata mpango mmoja wa kupata goli unao eleweka??!!Wachezaji wapo ila tatizo magazetu yetu utasikia Magambo kama messi,, hahahah
Toa maoni yako kuhusu kikosi cha leo na kile kilichoifunga cape verdeSiku tumewapiga Cape Verde mbili za mkwezi haya maneno hayakuwepo,hiyo ndiyo hurka ya mwanadamu anajitazama yeye kwanza, Lesotho waliihitaji pia hiyo nafasi kuliko mnavyofikiria.
Aisee kichwa kimeliwa mkuuKichwa cha mwendawazimu kinaenda kuliwa[emoji22]
Bora kwenda..vijana wadogo watapata morali ya kucheza mpiraHata tukifuzuu huko mbele tutatia aibuuu tuuu
Wangeshinda basi hii ingetumika kama kiki ya kisiasa!! Mungu ni mkubwaWangeshinda pongezi zingeanza kwenda kuunga mkono juhudi. Tumeshindwa hahusiki. Nonsense!
Warudishe tu zile hela.Baada ya timu kufanya vibaya. Je Kocha Emmanuel Amunike bado anafaa kuinoa Stars?