Tulaumu kwa hoja...hivi hawa wachezaji wanakiwango kweli cha kucheza timu ya Taifa..hatuwezi kupiga hata pasi tatu..sawa pamoja na uwanja kutusumbua jinsi ulivyotengenezwa lakini kiwango hata cha umiliki wa mpira kilikuwa kibovu tena tushukuru mwalimu kaanzisha kikosi cha kulinda lisingukuwa lile kosa la mabeki kusababisha kona ya kufungwa leo tulistahili sale ya bola bila...bado tupo mbali kisoka.."amacha"