Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Kuna sehemu nisoma humu jf alisema taifa stars haitashinda sijui ni mwanga yule?[emoji10][emoji10][emoji10][emoji10]
 
Ni kweli Manula kazingua ila c yy peke yake. Viungo wetu wamechoka sana, nimewafatilia kama mech 3 nyuma wanaharibu sana.Mabeki nao mhhhh, kwa ufupi tuna kazi kubwa sana ya kuandaa wachezaji. Wachezaji wetu ni wazuri wakiwa uwanja wa Taifa tu ila ukiwatoa tu hapo hata ukawapeleka Mkwakwani wanakua vimeo kabisaa. TFF boreshen ligi ili tuandae wachezaji vzr, ikibidi tuwauze nje
 
Nina amini bado tuna nafasi, mechi ya Uganda itakuwa ngumu lakini Mungu atatufanyia wepesi, tutashinda.

Let's believe, it's possible.
 
Sijui wapewe nn ndg yangu kama ni dua, sala na maombi tumepiga sana kama ni kambi wamepelekwa sauzi. Wajameni lbd tumtafute mzee Mwinyi atakua anamjua huyo wendawazimu aliemsema tumrudishie kichwa chake
Mpira ni uwezo wako, na sio mala sala na maombi!!
 
Team selections mbovu...lawana zote benchi la ufundi. ..ata sijui anatumia vigezo gani huyo Mwalimu - na waganda kwa mpira huo lazima watufumue marinda.

Kiungo kilikufa kabisa!! Mkunde mzee wa mpango eti yupo nje.
 
Yuko Sawa kabisa
Team wachezaji hawabebeki kbsa!
Yafaa wapokelewe na kipigo cha mayai viza

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…