Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko kote miaka 38 shida ni CCM?Hizo nchi zingine nazo ambazo hazijawah kushiriki nako ttz ni vyama vyao vya siasa?Nakosa logic kwenye argument yakoGundu limeletwa na viongozi wa ccm kuanza kujiweka mbele mbele ili wapate mtaji wa kisiasa. Kiongozi yoyote wa ccm asijiingize kwenye hiyo timu ibaki bila mkono wa siasa ili ipate baraka. Kinyume na hapo pelekeni jeshi.
Ni 50m bobTumewekeza sana ili mshinde, Mhe Rais amewapa Tshs.5miilioni na tumewapelka kwenye mazoezi Afrika Kusini. Lo ni huzuni kwetu Watanzania.
Mwakani tupeleke wana jeshi wakacheze hadi tubebe Kombe AFCON
Ila Taifa stars inajua kukomesha watu...napendekeza Stars iwe chini ya Basata tu ili kabla ya kucheza basata ipitie mchezo wake.[emoji2909]Hii nchi haiaminiki mkuu
Hivi kwa mfano stars akashinda 4-0 na Uganda kwenye game ya mwisho hapo caf na fifa wataelewa kwel? Nahis wataanza kuchunguza upangaji wa matokeo
Ushindi wa chukua weka waah utata mtupu.Hivi kwa mfano stars akashinda 4-0 na Uganda kwenye game ya mwisho hapo caf na fifa wataelewa kwel? Nahis wataanza kuchunguza upangaji wa matokeo
-mkuu unapoteza nguvu kujibu mwehu?Huko kote miaka 38 shida ni CCM?Hizo nchi zingine nazo ambazo hazijawah kushiriki nako ttz ni vyama vyao vya siasa?Nakosa logic kwenye argument yako