GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Kwhy usimba na uyanga umechangiaje taifa stars kufungwa Leo?Mpaka siku akili zetu zitakapo acha kuwaza usimba uyanga katika medaninza sokola la bongo, ndio tutatoboa.
Naona wachezaji wanajituma lakini sijui hatuna bahati.
Ni Mimi niliandika hivo mkuu, ila nilitanguliza kuomba radhiKuna sehemu nisoma humu jf alisema taifa stars haitashinda sijui ni mwanga yule?[emoji10][emoji10][emoji10][emoji10]
Sasa mkuu unataka utuoneshe nn ukishavua hizo nguo kama sio hicho kikalio chako kwa nyuma pale kwenye kinyeoMafiiiiiiiiiyajkooooooooooo
Mkude ana mipango gani sasa yaani hii sababu ya mkude nani kawa mezesha sababu zingine ni za ovyo kabisa. Kushindwa kwa timu ni wachezaji wenyewe wala si kocha. Kwa kikosi cha tz hakuna mtu ambaye kukosekana kwake ni sababu ya timu kufungwa labda kidgo samata.Team selections mbovu...lawana zote benchi la ufundi. ..ata sijui anatumia vigezo gani huyo Mwalimu - na waganda wa mpira huo lazima watufumue marinda.
Kiungo kilikufa kabisa!! Mkunde mzee wa mpango eti yupo nje.
Eee bhana eeee !!! nawaangalia wazalendo nasema Hiiiii !!!Na Cameroon hatuendi ng'oo
Haikua alhamis kweli siku aliyoenda kuwapa pesa?Yule mshikaji wote alowatembelea hospitali walikufa, ivyo taifa stars kwenda pale ulikuwa msiba na leo ndo mazishi yamefanyika
Na mbaya zaidi magroup yapo 12 team za kufuzu ni mbili kila group kwahyo zitakuwa 24 kwahyo hamna best loser hapa tujipange tena fainal zinazokujaLabda angekiwa anaongelea team nyingine siyo hii stars ya bongo.
Kama si neema ya Mungu leo tulikuwa tunapigwa 3. Ilifika sehemu ikabidi niweke wanyama pori. Kurudi kama hisia zangu zilivyokuwa zinanituma tumeshafungwa dah👹👹
Tujipange kwa best loser.
Kwa timu yetu hii ni bora tusiende Afcon.Kwa hili napo leo tuko pamoja. waTz blah blah nyingi , kwa kifupi uwezo wetu mdogo sana ns hatubadiliki
Lesotho walitushinda kufunga hapa nyumbani . Tungewezaje kuwafunga huko Maseru ?!
Wadau naombeni mwenye matokeo ya hii mechi, iliyochezwa Leo jumapili kama tangazo linavyosema!View attachment 938783
Sikuizi unachelewa sana kuelewa. Hivi huko mtaani kwenu hamfahamiani itikadi zenu?Huku mtaani kwetu kuna vijiwe vya bavicha na CCM. Na kuna watu wanajulikana ni CCM na wengine cdm.ikifika jion mda wa Kahawa huo ubishano wake ni hatar.Mechi kama ya leo unakuta kuna CCM na cdm wapo hapo na haiitaji kuonesha kadi kujua huyu ni chama gani. Leo sio bavicha wala ccm waliofurahia hali hii sema watanzania waishio jf kwa upande wa ufipa ndio wamefurah sana