walifanya makusudi, uwanja wa nyasi badia za kiwango cha chini kabisa, wamejaza yale ma rubber uwanjani na kufanya mpira unakosa uelekeo. Mimi ningekuwa FIFA ningepiga marufuku matumizi ya hizi uwanja zenye nyasi bandia. Kwanza kitaalamu zinaua nyonga na viungo nya wachezaji kwa sababu chini kuna zege achilia mbali, matatizo mengine kama tuliyoyaona leo
Sheria zao wanaangalia point mlizovuna wakat mlipokutana yaan home and away kama sawa ndo inakuja sasa mambo ya goal difference kama wanavyofanya kwenye UefaMkuu kwan hawaangalii goal difference kwanza?
Mechi ya Uganda ni lini ?
Hujui mpora kaka; acha wanaojua waongee!!Mkude ana mipango gani sasa yaani hii sababu ya mkude nani kawa mezesha sababu zingine ni za ovyo kabisa. Kushindwa kwa timu ni wachezaji wenyewe wala si kocha. Kwa kikosi cha tz hakuna mtu ambaye kukosekana kwake ni sababu ya timu kufungwa labda kidgo samata.
Whatever, issue ni ushindi. Mengine baada ya mechi
All the best our National Stars!
Amina.
Sala na kuwaombea ndo cha muhimu kwa nyakati hizi
Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Taifa stars
Team ya Taifa ni ya ccm?
Hili taifa lina upinzan wa kipuuz huenda hakuna dunia nzima.Mtu anakuambia Mungu ibariki Lesotho, sababu za mcng utasikia oooh taifa stars ikishinda jiwe atapata sifa mara CCM watasema ni mafanikio yao.
Ntakuwa Samaki Samaki M city nikiwa sehemu ya kizazi kilichoshuhudia TANZANIA ikiend AFCON kwa mara ya pili!
Mara paaaap Tz mnabeba ndoo Afcon....me sisemi itakavyokuwa.
History in the making
Hata kama ni upinzani huu sasa umezidiiii Mwenyezi Mungu ibariki Taifa Stars
-tatizo ni akili mkuu,
-akili ndogo ni nyingi sana nchi hii
-tuwasamehe.
ukiona unaloose mkuu jua ni wewe na family yako tu mkuu wengine sisi mwendo mdundo aka moto mchibuyu yaana hakuna kuloose wala kufeli, MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI TAIFA STARS,View attachment 938309
Wakati JIWE aliishaipiga mkosi! Safari, May bê safari ya sinza Kwa Remy