Hakuna aliyekuwa na shida na jpm. Usidhani hatuna uwezo wa kuelewa mambo, siku ile watu walitoka kuonyesha hisia zao kuhusu kilichotokea uchaguzi wa Znz na yeye jpm akanunua ugomvi usiomuhusu. Matokeo yake kanunua ugomvi usiomuhusu wakati yeye binafsi hawezi siasa zozote kuanzia za ushindani au za chama kimoja, kinachoendelea sasa ndio hiyo mivutano isiyo na tija. Wanaojifanya wanamkubali wengi wanamuunga mkono kinafiki hata anapoharibu, na wasiomkubali wanamponda hata kwa yale aliyotarajia kuungwa mkono. Anasaka ushindi kwa mbinu za kichovu.