Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho



Hawa kina Diamond, Wema, Rooney Ronaldo, Chris Brown na Jokate walikuwa bado wanatembea viunoni mwa Baba zao.



Mungu ibariki Taifa Stars, Mungu ibariki Tanzania, nchi pekee uliyotujalia.

Haya ndio maajabu ya bongo,
Nani alikuambia via vya uzazi vinakaa kiunoni?

Hiyo elimu umeitoa wapi?
 
Tuliposhiriki AFCON ya mwisho mwaka 1980 wengi humu tulikuwa tunachezea maringi na kuendesha matairi kwa miti.

Enzi hizo magazeti yanauzwa pale posta mpya na posta ya zamani. Uhuru, Mzalendo, Daily News na Jumapili Sunday News. Katuni maarufu ni zile chakubanga. Mwandishi maarufu ni James Nhende wa gazeti la mfanyakazi lililokuwa likitoka jumamosi.

Hawa kina Diamond, Wema, Rooney Ronaldo, Chris Brown na Jokate walikuwa bado wanatembea viunoni mwa Baba zao.

Na kwa wale wadogo zao pengine hata wazazi wao walikuwa hawajakonyezana.

Mungu ibariki Taifa Stars, Mungu ibariki Tanzania, nchi pekee uliyotujalia.
Amin. This is new era
 
hatutaki CCMlization kwenye timu ya taifa. this is for our motherland. not magufuli.
 
Mkuu Tatizo watanzania wanatoa Sana'a support kwenye mitandao ambayo haisaidii kitu Sana'a,Hakuna Moral support ndani ya Wachezaji,Hakuna MTU Professional wa Kuwahamasisha Uzalendo na Kuacha Ubinafsi na Anaekujubalika ndani ya Timu so tunekalia tuu Kikosi Mara Tushangilie,Mmeona World cup,
Yule mama Belinda Kitarovic
Rais wa Croatia alivyokuwa?
Au Paul Pogba Kuna clip ilikuwa INA trend akiwahamasisha mates wenzake kupambana na Kuchukua Ushindi,sisi hiyo kazi Tumewaachia eti Mashabiki tuu ambao wako Nje ya Uwanja!
Mkuu umuhimu ni ushindi. Akili zetu zote ziwe huko. Hayo mengine tutajadili baada ya mechi.
 
Haya ndio maajabu ya bongo,
Nani alikuambia via vya uzazi vinakaa kiunoni?

Hiyo elimu umeitoa wapi?
Mkuu hiyo iliyotumika ni lugha ya picha, kama zile zile zinazotumiwa kwenye vitabu vitakatifu.

Usianzishe mada ndani ya mada.
 
hatutaki CCMlization kwenye timu ya taifa. this is for our motherland. not magufuli.
Lets support our team, madhaifu yetu yapo na hayatokuja kuisha ila tuendelee kuungana kwaajili ya taifa kwenye matukio muhimu kama hili na kwa njia hii itaondoa hilo ulilosema.
 
Unawekeza kwa wazee waliobalehe unategemea ushindi

Tengenezeni Timu za watoto, mafanikio yatapatikana tu wewe ukiwa umezeeka

Tatizo mnataka mambo ya haraka muonekane mmefanikiwa kwenye kipindi cha uongozi wenu, Ulaya haipo hiyo

Wanajadili uchumi Wa miaka 100 ijayo hawaogopi atasifiwa nani

Bongo Kila Mtu ataka sifa haraka
umeandika kama vile ww sio mtanzania
 
Aliyejiandaa ndiye mshindi,mengine ushirikina tu. Garbage in garbage out
 
Hili taifa lina upinzan wa kipuuz huenda hakuna dunia nzima.Mtu anakuambia Mungu ibariki Lesotho, sababu za mcng utasikia oooh taifa stars ikishinda jiwe atapata sifa mara CCM watasema ni mafanikio yao.

Unalalamikia ulipoangukia badala ya ulipojikwaa? Jiulize tumefikaje hapa wakati huko nyuma watu walikuwa wanashangilia timu kwa pamoja? Mlete siasa za kipuuzi kisha zishike hatamu mshangae imekuwaje?
 
Tena waangalie zile 50m zisiwatokee puani! Presidaa alisha waonya!

MUNGU IBARIKI TAIA STARS; MUNGU IBARIKI TANZANIA
Mnapoweka mikwara kwa michango mbuzi ya mil 50 ndio hapo tunapowaachia timu yenu , acheni huo ujinga tushirikiane
 
Wakuu,

Leo Tanzania inaweza kuingia kwenye historia muhimu sana kwenye ulimwengu wa michezo. Tunatakiwa kuishinda Lesotho kwa namna yeyote ili tuweze kushiriki michuano mikubwa kabisa barani Africa ambayo tulishiriki Zaidi ya miaka 38 iliyopita.

Watanzania wote tusimamishe kila kitu na kuonesha kila namna ya kuiunga mkono timu yetu ya Taifa. Masaa haya machache tuchafue mitandao ya kijamii na mitaani kuonesha mshikamano wetu nyakati muhimu kama hizi.

Hii mechi ya leo si ya kawaida bali ni vita ambayo tukishindwa ni taifa limeshindwa na tukishinda ni taifa limeshinda. Heshima ya ushindi wa leo itaiweka nchi kwenye ramani kubwa Zaidi kimichezo na Zaidi itabadili uelekeo wa michezo na hasa nafasi ya wachezaji wetu kupata fursa Zaidi kwenye Nyanja za kimataifa.

Kila lakheri timu ya taifa ya Tanzania, nendeni mkapiganie nchi kwa nguvu zenu zote. Wanajeshi wetu wengi wamemwaga damu zao kuipigania heshima ya taifa letu na nyie mtambue mnawajibu sawa na huo kwaajili ya Tanzania.

Taifa zima leo limeweka matumaini yote mikononi mwenu, kaipiganieni Tanzania na mlete heshima ambayo vizazi vyote vitawakumbuka kuwa nyie ndio mliorudisha heshima ya nchi baada ya miaka 38 kushindwa kushiriki michuano hii mikubwa.

"We will stand and fight here. If we can't stay here alive, then let us stay here dead." General Sir Bernard Montgomery

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Taifa Stars ….
Does this has anything to do with Politics ?
 
Unalalamikia ulipoangukia badala ya ulipojikwaa? Jiulize tumefikaje hapa wakati huko nyuma watu walikuwa wanashangilia timu kwa pamoja? Mlete siasa za kipuuzi kisha zishike hatamu mshangae imekuwaje?
Hizo siasa za kipuuz kaleta nani?Fuatilia toka jpm anaapishwa pale taifa na siku yake ya kwanza kufanya kazi ndio utajua mwanzilishi wa siasa za kipuuz ni nani.
 
Hizo siasa za kipuuz kaleta nani?Fuatilia toka jpm anaapishwa pale taifa na siku yake ya kwanza kufanya kazi ndio utajua mwanzilishi wa siasa za kipuuz ni nani.


Hakuna aliyekuwa na shida na jpm. Usidhani hatuna uwezo wa kuelewa mambo, siku ile watu walitoka kuonyesha hisia zao kuhusu kilichotokea uchaguzi wa Znz na yeye jpm akanunua ugomvi usiomuhusu. Matokeo yake kanunua ugomvi usiomuhusu wakati yeye binafsi hawezi siasa zozote kuanzia za ushindani au za chama kimoja, kinachoendelea sasa ndio hiyo mivutano isiyo na tija. Wanaojifanya wanamkubali wengi wanamuunga mkono kinafiki hata anapoharibu, na wasiomkubali wanamponda hata kwa yale aliyotarajia kuungwa mkono. Anasaka ushindi kwa mbinu za kichovu.
 
[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
"USHINDI NI WETU"
 
Back
Top Bottom