Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Hiyo ndoto ya uongo,kama jina la timu tunaocheza nao huijui sasa ndoto yako itakuwaje ya ukweli? Resotho ndo nchi katika bara gani?
 
Sina mengi sana na pia nimejitahidi nisiiseme hii ndoto yangu mbaya nliyoipata Leo usiku juu ya taifa stars.

Nmeona namna tutakavyo pigwa na wenyeji wetu, na hakuna namna ni kukubali tuu matokeo na turudi kujipanga upya kwa awamu inayokuja ila kwa hii hakika hatuna bahati. Resotho wamecheza mpira vizuri na taifa stars tumejitahidi kucheza vizuri lakin nafasi chache tulizozipata hasa ile ya bocco kutozaa matunda lakin wenzetu wamepata chache na mbili wamefanikiwa....

Najua wengi mtakuja na povu la uzalendo lakin tuyakubali matokeo na kukubali pia ni uzalendo, mtakao kwenda kutazama mpira mjindae mapema Leo tunafungwa na safari yetu inaishia south.
Mimi mwenyewe nimeota ndoto mbaya mno usiku, mwanangu kakamatwa na polisi naenda kumtoa polisi nakuta wamempiga sina, wananipa pesa na Mimi nimepokea. Nikapanda gari nikapotea, yaan kwa ujumla nilipata taabu sana. Hakika Leo hatutoki.
 
Nimekuambia rejea toka anaapishwa pale taifa na siku yake ya kwanza kufanya kazi. Huko hutak kurejea unakuja na story za katikati. Nguvu mnayotumia kumpinga ni kubwa mno yaani sana kiasi kuona naye anashindana nanyi.Toka anaapishwa kulikua na kampeni ya watu wasiende kwenye taifa, kaapishwa tu na kaanza kazi tayar kejeli na dhihaka zikaanza. Waliokuwa wanasema nguvu ya soda, remote msoga tv magogoni ni akina nani?Kafuta sherehe za Uhuru zikajenge barabarani bado mkaja juu na siasa uchwara oooh bunge alijahidhinisha nk. Kuelewa Chuki zimeanzia wapi na nani kaanza kuhubiri chuki anza 2015 na hapo ndio uataelewa. Kikubwa baada ya uchaguz mkuu 2015 upinzan uligoma kurudisha majeshi nyuma na hii ni kutokana na lile joto la uchaguz kuwa kubwa sana kuamini wao watashinda uchaguz. Asilimia kubwa wanaompinga ni walewale wa upinzan na wachache sana waliokutana na sekeseke la vyeti au wale mirija yao imezibwa direct or indirect.
Rais kushindana na wananchi wake iwe kisiasa au kiuchumi ni dalili za kutokujiamini, Kupingwa si hoja, mtu makini angewekeza kwenye ushawishi na kupiga kazi ili wamuelewe na kubuy in na si kushindana na wananchi wako
 
Mwenyewe atakalishwa hapo hapo Maseru, viva Taifa stars, leo tunashinda.
 
Hiyo ndio demokrasia ulitakaje labda? Ulitaka asujudiwe na kila mtu? Hizo unazoniambia sherehe za kuapishwa, kwani enzi za JK hao wapinzani walikuwa wanashiriki hayo mambo ya kitaifa mpaka uone hiyo tabia ilianza wakati wa jpm? Ni dhahiri uwanja wa uchaguzi hauko sawa hata kabla ya huyo Magu hiyo 2015, kama hicho ndio kilio cha muda wote yeye kafanya nini kuondoa hali hiyo ili kuondoa huo mgawanyiko unaoletwa na mwenendo huo zaidi ya yeye kufanya vibaya kuliko mtangulizi wake? Wapinzani warudishe majeshi kwa kujinyenyekeza huku wakifanyiwa ubazazi?
wanasema ana nia njema na nchi yetu. Sasa unajiuliza mtu mwenye nia njema na nchi yetu anaanzaje kuona ndege au STR kuwa na umuhimu zaidi ya sheria mama ya nchi?
 
Sina mengi sana na pia nimejitahidi nisiiseme hii ndoto yangu mbaya nliyoipata Leo usiku juu ya taifa stars.

Nmeona namna tutakavyo pigwa na wenyeji wetu, na hakuna namna ni kukubali tuu matokeo na turudi kujipanga upya kwa awamu inayokuja ila kwa hii hakika hatuna bahati. Resotho wamecheza mpira vizuri na taifa stars tumejitahidi kucheza vizuri lakin nafasi chache tulizozipata hasa ile ya bocco kutozaa matunda lakin wenzetu wamepata chache na mbili wamefanikiwa....

Najua wengi mtakuja na povu la uzalendo lakin tuyakubali matokeo na kukubali pia ni uzalendo, mtakao kwenda kutazama mpira mjindae mapema Leo tunafungwa na safari yetu inaishia south.
Wachawi kama nyinyi Mungu huwaumbuaga kabla hata hakujacha.
 
Cha ajabu Taifa Stars wakishinda hao doubting Thomas watarudi na kujidai kushangilia.
Kuwa mzalendo shangilia Taifa Stars wakishinda,wakidroo na wakifungwa ni sehemu ya mchezo.
Mataifa mengine timu ya taifa inashangiliwa bila masharti.
Kila la kheri Taifa Stars.
 
Kila la heri Taifa stars. Kwako hemedi kivuyo.
 
Tunatoboa
Screenshot_2018-11-18-16-02-57.jpeg
 
Back
Top Bottom