Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Mpira kabumbu sio fani yetu waTZ. Hata tukimleta Maurizio Sarri au Pep Guardiola na kutegemea atuletee mafanikio kupitia hawa wazee waliojifunza mpira in their late 20s, ni sawa na kwenda ferry kusubiri drimulaina itue. Let’s all get this obvious fact into our heads and move on.
mm nilishalong'amua hilo zamanii sana..sie twafaa kuwa madalali tu..uongo uongo mwingi maisha yanasonga
 
Timu ya Kipuuzi sana hii, sasa huko Afcon mnaenda kufanya nini kama Lesotho tu wanatupapasa kiuno hivi
 
Halafu huyu Kichuya si huwa nacheza upande wa kulia kwanini leo anacheza upande wa kushoto?
 
tanzania is a special case no one can help us,waiting for 38yrs and this is how we play,shit shit
 
Back
Top Bottom