Unajisikiaje hapo ulipo Blaza[emoji41][emoji41][emoji41]Nini kimekufanya useme kuwa Taifa Stars iko vizuri sana? Hebu jibu kwa kina hili swali kisha tuendelee.
Au kwa kuifunga equatorial Guinea 2 kwa 1 ?
Bavicha wakiongozwa na Zito wote wanashangilia Libya.
DahBavicha wakiongozwa na Zito wote wanashangilia Libya.
Wewe matako muda wote unawaza siasa?
Libya wanaonekana kuwa na madhara Sana wanapokuja golini kwetu, sisi mpira mwingi tunaucheza Kati Kati na nyuma, Sina hakika Sana kama nimbinu za Mwalimu ila kuna makosa nayaona kwenye eneo laulinzi .Taifa Stars wanacheza show game kisa tu kuongoza kwa goli moja!! Hovyo kabisa. Badala ya kumaliza mchezo mapema kwa kuwashindilia magoli ya kutosha!! Sasa kagoli kamoja si muda wowote ule kanaweza kurudishwa!
Washukuru tu Walibya wenyewe hawako makini. Makosa mi mengi mno kwa safu ya ulinzi na viungo.
Wewe bora baba yako angemwaga nje au mama yako angefanya abortionBavicha wakiongozwa na Zito wote wanashangilia Libya.
Kimenya gem imemkataa LeoLibya wanaonekana kuwa na madhara Sana wanapokuja golini kwetu, sisi mpira mwingi tunaucheza Kati Kati na nyuma, Sina hakika Sana kama nimbinu za Mwalimu ila kuna makosa nayaona kwenye eneo laulinzi .
Uha.ro bwanaWewe matako muda wote unawaza siasa?
Hapo wapo TunisiaLeo hii Libya hawawezi hata kuchezea kwenye ardhi yao!!
Leo mpo Libya kwa muda.Wewe bora baba yako angemwaga nje au mama yako angefanya abortion
Shetani wa msituni wewee ushindwe.Tulia uone
Maswali ya kimama humu usileteNini kimekufanya useme kuwa Taifa Stars iko vizuri sana? Hebu jibu kwa kina hili swali kisha tuendelee.
Au kwa kuifunga equatorial Guinea 2 kwa 1 ?
Tulia unyolewa sasaNimeshamuua Mtanzania