Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Machafuko tokea wamtoe Gadaffi hapakaliki.Leo hii Libya hawawezi hata kuchezea kwenye ardhi yao!!
Ubaya ubaya tuMachafuko tokea wamtoe Gadaffi hapakaliki.
Na bado watamkumbuka sana tu, wakawasikiliza majangiri wa NATO, wakaharibu nchi ya kwa makusudiYaani wanamkumbuka Khadafi.
Akina Polepole wanatakiwa kujifunza hapa!Ujinga wa walibya uliochochewa na hila, uzandiki na ghiliba za mabeberu
Kabisa mkuuMsuva bado ndiyo anaibeba timu
So far so good
Msuva 1=Samata 2 najua wengi watakataa ila linapokuja swala la kupambana asee msuva weka mbali na watoto.
Safi. Kazi nzuri.Dk ya 33 Samata anachezewa faulo tena na kuipatia faida tanzania kwa kupata faulo,,,msuva anajaribu kuufata mpira ule uliopigwa na mchezaji kutoka libya lakini umekua mwingi na unatoka nje na kusababisha kona kuelekea lango la libya
Timu moja tutupe na hz timu nyingine ulizoweka au umeweka timu 1 tu.?
Mkuu najutaLibya wenyewe wachumba tu! Wanatakiwa wagongwe goli zaidi ya 3! Mpaka sasa mambo si mabaya. Wacha tu uchaniwe huo mkeka wako. Hakuna namna. Kila la heri Taifa Stars.