Kufuzu AFCON 2021: Libya 2 - 1 Taifa Stars | Mchezo wa mzunguko wa pili Kundi J

Kufuzu AFCON 2021: Libya 2 - 1 Taifa Stars | Mchezo wa mzunguko wa pili Kundi J

Kadi ya kwanza ya manjano imetolewa kwa muhamed sola wa libya baada ya kumchezea madhambi mbwana samatta
 
Taifa Stars wanaanza kuwamudu hawa Libya. Tukimaliza 45' bila kufungwa,tunashinda
 
Penaaaaat... Tanzania wanapata penalt baada ya msuva kuchezewa madhambi ndani ya box kwenhe lango la libya
 
Leteni link tucheki live
Screenshot_20191119-221354.png

Hao jamaa wanaonyesha. Angalia hiyo penati!
 
Dk ya 16 tanzania wanapata goli la kuongoza
 
Dk ya 19 libya wanapata kona lakini haina madhara
 
Vijana wetu wanacheza kwa nguvu sana. Jihad kabsaa
 
Vijana wa libya wanajaribu kushambulia lango la tz lakini mpira unaondoshwa kwenye hatari
 
Back
Top Bottom