Kufuzu Quarter Final Caf Cl: tofauti 10 kundi la Simba na Yanga

Kufuzu Quarter Final Caf Cl: tofauti 10 kundi la Simba na Yanga

1. Anayeongoza kundi la Simba ana point 7 iliSimba amfikie anahitaji mechi mbali wakati anayeongoza kundi la Yanga ana point 5 the Kumfikia ni mechi Moja tu

2.Simba ana mechi na Wydad wakati Yanga ana mechi na Medeama Kwa Mkapa. Wydad. Mgumu kuliko Medeama.

3.Simba ana mechi Ghana ambako Wydad alipasuka Yanga ana mechi na CRB ambao hapa hapa Kwa Mkapa

4. Mashabiki wa Yanga Bado Wana Imani na timu Yao relatively wanajaa Kwa Mkapa

5. Yanga Wana relatively timu nzuri kuliko Simba

6 Tangu msimu uanze Yanga ameshinda mechi kadhaa za kimataifa ikiwemo ya Al merreikh Simba hajashinda mechi yoyote Ile ya kimataifa msimu huu. 2023

Hebu malizieni zingine nne
Points za anaeongoza ni irrelevant sababu kwenye kundi wanapita wawili.

Neno "Relatively" umeitaja mara mbili ili ionekane una points nyingi kumbe unazirudia.

Swala Yanga kua na mechi ngumu na Al Ahly hujalitaja.

Yanga ameshinda mechi nyingi kimataifa sababu alikua kwenye michuano dhaifu kuliko Simba.
 
1. Anayeongoza kundi la Simba ana point 7 iliSimba amfikie anahitaji mechi mbali wakati anayeongoza kundi la Yanga ana point 5 the Kumfikia ni mechi Moja tu

2.Simba ana mechi na Wydad wakati Yanga ana mechi na Medeama Kwa Mkapa. Wydad. Mgumu kuliko Medeama.

3.Simba ana mechi Ghana ambako Wydad alipasuka Yanga ana mechi na CRB ambao hapa hapa Kwa Mkapa

4. Mashabiki wa Yanga Bado Wana Imani na timu Yao relatively wanajaa Kwa Mkapa

5. Yanga Wana relatively timu nzuri kuliko Simba

6 Tangu msimu uanze Yanga ameshinda mechi kadhaa za kimataifa ikiwemo ya Al merreikh Simba hajashinda mechi yoyote Ile ya kimataifa msimu huu. 2023

Hebu malizieni zingine nne
Yanga hajawahi kushinda mechi yoyote ya Caf champions league group stage yeye ni kipigo na droo.
 
1. Anayeongoza kundi la Simba ana point 7 iliSimba amfikie anahitaji mechi mbali wakati anayeongoza kundi la Yanga ana point 5 the Kumfikia ni mechi Moja tu

2.Simba ana mechi na Wydad wakati Yanga ana mechi na Medeama Kwa Mkapa. Wydad. Mgumu kuliko Medeama.

3.Simba ana mechi Ghana ambako Wydad alipasuka Yanga ana mechi na CRB ambao hapa hapa Kwa Mkapa

4. Mashabiki wa Yanga Bado Wana Imani na timu Yao relatively wanajaa Kwa Mkapa

5. Yanga Wana relatively timu nzuri kuliko Simba

6 Tangu msimu uanze Yanga ameshinda mechi kadhaa za kimataifa ikiwemo ya Al merreikh Simba hajashinda mechi yoyote Ile ya kimataifa msimu huu. 2023

Hebu malizieni zingine nne
UPUUZI WA SGR HUU[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
1. Anayeongoza kundi la Simba ana point 7 iliSimba amfikie anahitaji mechi mbali wakati anayeongoza kundi la Yanga ana point 5 the Kumfikia ni mechi Moja tu

2.Simba ana mechi na Wydad wakati Yanga ana mechi na Medeama Kwa Mkapa. Wydad. Mgumu kuliko Medeama.

3.Simba ana mechi Ghana ambako Wydad alipasuka Yanga ana mechi na CRB ambao hapa hapa Kwa Mkapa

4. Mashabiki wa Yanga Bado Wana Imani na timu Yao relatively wanajaa Kwa Mkapa

5. Yanga Wana relatively timu nzuri kuliko Simba

6 Tangu msimu uanze Yanga ameshinda mechi kadhaa za kimataifa ikiwemo ya Al merreikh Simba hajashinda mechi yoyote Ile ya kimataifa msimu huu. 2023

Hebu malizieni zingine nne
Simba wanaenda Ghana kucheza na nani?
 
1. Anayeongoza kundi la Simba ana point 7 iliSimba amfikie anahitaji mechi mbali wakati anayeongoza kundi la Yanga ana point 5 the Kumfikia ni mechi Moja tu

2.Simba ana mechi na Wydad wakati Yanga ana mechi na Medeama Kwa Mkapa. Wydad. Mgumu kuliko Medeama.

3.Simba ana mechi Ghana ambako Wydad alipasuka Yanga ana mechi na CRB ambao hapa hapa Kwa Mkapa

4. Mashabiki wa Yanga Bado Wana Imani na timu Yao relatively wanajaa Kwa Mkapa

5. Yanga Wana relatively timu nzuri kuliko Simba

6 Tangu msimu uanze Yanga ameshinda mechi kadhaa za kimataifa ikiwemo ya Al merreikh Simba hajashinda mechi yoyote Ile ya kimataifa msimu huu. 2023

Hebu malizieni zingine nne
Unasema wydad ni mgumu kuliko medeama hapo hapo unasema kuni la yanga ni mabingwa watupu ambao ni wagumu kuliko kundi la simba
 
Back
Top Bottom