Kufuzu Quarter Final Caf Cl: tofauti 10 kundi la Simba na Yanga

Points za anaeongoza ni irrelevant sababu kwenye kundi wanapita wawili.

Neno "Relatively" umeitaja mara mbili ili ionekane una points nyingi kumbe unazirudia.

Swala Yanga kua na mechi ngumu na Al Ahly hujalitaja.

Yanga ameshinda mechi nyingi kimataifa sababu alikua kwenye michuano dhaifu kuliko Simba.
 
Yanga hajawahi kushinda mechi yoyote ya Caf champions league group stage yeye ni kipigo na droo.
 
UPUUZI WA SGR HUU[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Simba wanaenda Ghana kucheza na nani?
 
Unasema wydad ni mgumu kuliko medeama hapo hapo unasema kuni la yanga ni mabingwa watupu ambao ni wagumu kuliko kundi la simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…