Dah! Aisee.
Kuga Mziray alikua mshikaji wangu sana. Nimekua nae sana maeneo ya Kinondoni. Kuga alikua akifika DDz ananipigia sim tukajumuike, au kwa John Feza ananipigia kama niko maeneo ya jirani tukapige stori na kubadilishana mawazo
Ni mkubwa sana kwangu, sawa na mzee ila tulikua tunaelewana sana, tulitokea tu kufahamiana maeneo ya starehe. Alikua na vyombo vyake vya muziki nadhani vilikua hapo hunters kama sijakosea, akawa akaniomba nimtaftie mnunuzi.
Nimesikitika sana. Duniani kweli tunapita.
Poleni sana ndugu wafiwa.