TANZIA Kuga Peter Mziray afariki dunia Hospitali ya Rabininsia. Alikuwa mgombea urais 2010

TANZIA Kuga Peter Mziray afariki dunia Hospitali ya Rabininsia. Alikuwa mgombea urais 2010

R.I.P

Poleni wafiwa, Allah awape subra na tahfeef kipindi hiki kigumu
Mungu awape subra na tahfeef... Tahfeef ndio nini?

Mwarabu hawezi kukariri vineno vya kipogolo na kuvichomeka kwenye mawasiliono yake na Mwarabu mwenzie, kamwe. Mwafrika hajithamini, sijui shida ni nini.

Pole sana wafiwa, jamaa na marafiki. Marehemu alikuwa jasiri, alishindana ubunge na Waziri wa Fedha, Daniel Yona, na mke wa Waziri Mkuu mstaafu, Anna Kilango, mijitu yenye nguvu na mitandao na iliyoshiba mahela ya kukwapua ya serikali. Apumzike kwa amani.
 
Hakuna mahala inaonyeshwa alijishirikisha na mambo ya kilimo na ufugaji, na akawa mfano, ni vyeti tuuuu vinapangwa, elimu haikuenda saiti
 
Kuga Mziray hakuwa na matibabu mazuri nchini Japan kwa sababu ya uamuzi wa mke wake. Mkewe Harumi Mziray (Harumi Hashizume Mziray) alikuwa na pesa lakini hakumwokoa. Harumi Mziray aliamua ni bora afe ili apate pesa zaidi.
Ninaweza kutoa uthibitisho na habari zaidi. Haki kwa Peter! RIP
Nawatakia heri ndugu zake wa Tanzania
Mkewe alikuwa mjapani?
 
Mungu awape subra na tahfeef... Tahfeef ndio nini?

Mwarabu hawezi kukariri vineno vya kipogolo na kuvichomeka kwenye mawasiliono yake na Mwarabu mwenzie, kamwe. Mwafrika hajithamini, sijui shida ni nini.

Pole sana wafiwa, jamaa na marafiki. Marehemu alikuwa jasiri, alishindana ubunge na Waziri wa Fedha, Daniel Yona, na mke wa Waziri Mkuu mstaafu, Anna Kilango, mijitu yenye nguvu na mitandao na iliyoshiba mahela ya kukwapua ya serikali. Apumzike kwa amani.
Tahfeef = Nafuu/ahueni; ni kiswahili fasaha kabisa.
Labda unashindwa kuelewa kuwa asilimia kubwa ya maneno ya kiswahili yametokea kwenye lugha ya kiarabu.
 
Back
Top Bottom