TANZIA Kuga Peter Mziray afariki dunia Hospitali ya Rabininsia. Alikuwa mgombea urais 2010

TANZIA Kuga Peter Mziray afariki dunia Hospitali ya Rabininsia. Alikuwa mgombea urais 2010

Natoa pole kwa familia ndugu na jamaa na rafiki, Mwenyezi Mungu amjalie uzima wa milele.
Kama kuna uwezekano wa kuendeleza kile alichokiishi sio mbaya kama kumuenzi.
 
Daaaaah! Pole kwa ndugu na jamaa zake wa karibu! Kabla sijaiona picha, nilifikiri ni yule ANAYEVAAGA KOFIA! Sijui anatoka mkoa wa Pwani, ambaye huwa anawakaba wapinzani wenzie!
[emoji23] [emoji23] yule Wa kikofia cha FFU ni Dovutwa mzaramo wa kisarawe
 
Kumbe ni Mpare! Basi kesho tutamsikia mpare mwenzie HASSAN NGOMA wa 360 akituelezea kwa undani hasa wa nini kitakachoendelea huko Same
 
Peter passed away because his wife Harumi Hashizume Mziray did not allow him to access treatment
 
Peter passed away because his wife Harumi Hashizume Mziray did not allow him to access treatment
Accompany your allegations with evidence plz!

Where were you 4 years ago?? You could have ensured his wife allowed him access to treatment hence save his life!

By the way will this bring Peter back to life!?? Of course not
Let the sleeping dogs lie.
 
Fanga mpango wa picha wengine tumemsahau
Nabulete habari kamili vipi alikuwa anaumwa?
Kuga Mziray hakuwa na matibabu mazuri nchini Japan kwa sababu ya uamuzi wa mke wake. Mkewe Harumi Mziray (Harumi Hashizume Mziray) alikuwa na pesa lakini hakumwokoa. Harumi Mziray aliamua ni bora afe ili apate pesa zaidi.
Ninaweza kutoa uthibitisho na habari zaidi. Haki kwa Peter! RIP
Nawatakia heri ndugu zake wa Tanzania
 
Back
Top Bottom