Verrazanno
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 454
- 1,011
Mungu awape subra na tahfeef... Tahfeef ndio nini?R.I.P
Poleni wafiwa, Allah awape subra na tahfeef kipindi hiki kigumu
EeehhPeter passed away because his wife Harumi Hashizume Mziray did not allow him to access treatment
Mkewe alikuwa mjapani?Kuga Mziray hakuwa na matibabu mazuri nchini Japan kwa sababu ya uamuzi wa mke wake. Mkewe Harumi Mziray (Harumi Hashizume Mziray) alikuwa na pesa lakini hakumwokoa. Harumi Mziray aliamua ni bora afe ili apate pesa zaidi.
Ninaweza kutoa uthibitisho na habari zaidi. Haki kwa Peter! RIP
Nawatakia heri ndugu zake wa Tanzania
Tahfeef = Nafuu/ahueni; ni kiswahili fasaha kabisa.Mungu awape subra na tahfeef... Tahfeef ndio nini?
Mwarabu hawezi kukariri vineno vya kipogolo na kuvichomeka kwenye mawasiliono yake na Mwarabu mwenzie, kamwe. Mwafrika hajithamini, sijui shida ni nini.
Pole sana wafiwa, jamaa na marafiki. Marehemu alikuwa jasiri, alishindana ubunge na Waziri wa Fedha, Daniel Yona, na mke wa Waziri Mkuu mstaafu, Anna Kilango, mijitu yenye nguvu na mitandao na iliyoshiba mahela ya kukwapua ya serikali. Apumzike kwa amani.
WhyPeter passed away because his wife Harumi Hashizume Mziray did not allow him to access treatment