Mati Mkenda
Senior Member
- Mar 4, 2018
- 171
- 211
- Thread starter
- #21
Acheni kuokoteza. Kuna mambo mengi ya kiufundi kwa pande zote.
Lazima kwenye mazungumzo kuwe na win - lose situation.
Uzito wa kila upande na analysis inahitajika.
Kila upande unamuhitaji mwenzake kwa namna tofauti. Tuombe wafikie point of Resolution.
Hili la Membe na lissu litapimwa kwa hoja kwa kila upande.
Binafsi napendekeza wapige mchezo wa kombolela ili waje washtukize lala salama. Naishia hapo.
But losers ni ACT-Wazalendo