The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Wakuu niko parrot Os na ina wifite nawezaje kuanza itumia katika ku hack WiFi password
Je nahitajika wifi adapter
Je nahitajika wifi adapter
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna tutorial youtubeWakuu niko parrot Os na ina wifite nawezaje kuanza itumia katika ku hack WiFi password
Je nahitajika wifi adapter
Nothing u posses in ur mindTatizo la Wanafunzi wa IT wa kibongo wengi wenu ni majuha,mazwazwa,matahira,mazumbukuku na malimbukeni,wewe unaenda kusoma chuo IT unatoka huko unakuja kuiba password kwa ajili ya Mbs na Gbs ili uingie kusoma umbea wa Mange Kimambi Instagram na Kuwochi Music za kina Mondi,hivi huwa mnaakili timamu kweli?
Wenzio wanaanzisha APPS za kutatua Changamoto kwenye Jamii wanapiga pesa wewe kazi kuwaibia wadogo zako password za Wi-Fi!.
Aiseeeee!
Ikiuma unachomoa inapigwa upepo Kisha unairudishia tena!Nothing u posses in ur mind
Safi, Uko Purple team (Blue Team) au Red Team?Wakuu nani anajua kucrack kutumia crunch tool ya kali linux
😀😃😃😃😃😃Kuna jirani yangu ana unlimited airtel na anatumia yeye na procedure yake tu, lkn mkaidi hatoi key.
Nataka niingie chimbo, atafurahi tu.😀😃😃😃😃😃
TumiaNataka niingie chimbo, atafurahi tu.
Naomba ueleze vizuri maana kama umeniachaTumia
ZXing Decoder Online
Hamna mtu yeyote unae mjua anae tumia hiyo wifi kama yupo muombe scan hiyo wifi utapata password
Ni vile hawaja configure na kuweka security layers vizuri. Wengi default password zinatumia protocol za zamani which ni rahisi ku havk hata wiresharkWanasema kizuri kula na nduguyo.
Nimehamia mtaa fulani hivi wa raia wamejifungia kwenye mageti yao.
Sasa huku fibre hakuna ila raia wamefunga superkasi.
Katika kuhangaika nikapata tool moja inaitwa wifite.
Aisee haka kadude ukiscan kanakuletea wifi zote zinazopatikana na password zake ndani ya muda mfupi.
Kuna wifi moja hapa ina kasi kuanzia mb 8 nna wiki naitumia.
Wakuu jaribuni wifite, ila inafanya kazi kwenye linux tu na kwa commands tu.
Mimi kwenye Desktop yangu ina Windows 2 Windows 11 na Parot Os nitajaribu kuiweka hiyo Wifite kwenye hiyo Parot OS Je kuiweka kwake lazima unatumia Command?au una install kikawaida?Wanasema kizuri kula na nduguyo.
Nimehamia mtaa fulani hivi wa raia wamejifungia kwenye mageti yao.
Sasa huku fibre hakuna ila raia wamefunga superkasi.
Katika kuhangaika nikapata tool moja inaitwa wifite.
Aisee haka kadude ukiscan kanakuletea wifi zote zinazopatikana na password zake ndani ya muda mfupi.
Kuna wifi moja hapa ina kasi kuanzia mb 8 nna wiki naitumia.
Wakuu jaribuni wifite, ila inafanya kazi kwenye linux tu na kwa commands tu.
Yes mkuu ndio hiyo
hii njia hukuiwekahii ndo njia ya kwanza kabisa so ikikubali niambie ikigoma tunaenda second way inaitwa ....Yay reppository
Ipo hivi hii kama umeenda mahali wakakupa password na wao kama hawajabadili Basi ukirudi utatumia hiyo bila password au kama mtu unamjua unaomba uscan ile qr code mzigo utapiga kaziNaomba ueleze vizuri maana kama umeniacha
Vipi ulifanikiwa?Kuna jirani yangu ana unlimited airtel na anatumia yeye na procedure yake tu, lkn mkaidi hatoi key.
Hapana mkuu, nilipata elimu nusu sikufanikiwa kumalizaVipi ulifanikiwa?